Miki123 JF-Expert Member Apr 27, 2018 288 502 Aug 5, 2019 #1 Kama una degree ya elimu kwa masomo ya hisabati na tehama basi wasiliana na wahusika kwa njia ya ujumbe mfupi kwa namba zifuatazo. 0625 79 50 72 Kikubwa uwe na uwezo kwa masomo tajwa hapo hasa tehama. Shule ni ya binafsi ipo dar es salaam
Kama una degree ya elimu kwa masomo ya hisabati na tehama basi wasiliana na wahusika kwa njia ya ujumbe mfupi kwa namba zifuatazo. 0625 79 50 72 Kikubwa uwe na uwezo kwa masomo tajwa hapo hasa tehama. Shule ni ya binafsi ipo dar es salaam
Dannis JF-Expert Member Jan 21, 2016 1,580 1,621 Aug 6, 2019 #2 Mkuu ukitaka Physics na ICT nistue kuna binamu yangu.
Miki123 JF-Expert Member Apr 27, 2018 288 502 Aug 6, 2019 Thread starter #3 msukuma.com said: Mkuu ukitaka Physics na ICT nistue kuna binamu yangu. Click to expand... Poa, ila kwa sasa ni tehama na maths.
msukuma.com said: Mkuu ukitaka Physics na ICT nistue kuna binamu yangu. Click to expand... Poa, ila kwa sasa ni tehama na maths.
malindo Senior Member Dec 10, 2018 131 89 Aug 7, 2019 #5 Na kama shule yenu itahitaj vifaa vya maabara usisite kunishtua kwa namba 0717 550291. Karibu