strong peason
Member
- Sep 25, 2015
- 30
- 1
Kama kichwa cha habari kilivyo hapo, mwenye taaluma ya saikolojia na ana uwezo wa kufundisha.
Atafundisha watu wawil tu.
Atafundisha watu wawil tu.
Kama kichwa cha habar kilivyo hapo, mwenye taaruma ya saikorojia na Ana uwezo wa kufundisha,atafundisha wa2 wawil 2 tu
tunashukuru kwa kutuonyesha uwezo wako mdogo wa maarifa. naomba kujua hilo somo la " saikorojia " ni la sayari gani au ipi?
Wapi anahitajika? Hiyo ni moja ya kozi ninazoZifundisha st Joseph college
Short interview for you Mr Psychologist !!!
1) What is psychology ???
2) There are how many branches of Psychology ??? List them
3) What is the importance of studying Psychology ???
4 ) Why has Psychology been described as a "hub science" ???
5) What status does Marko Marulic hold in the field of Psychology ????
6) Who is Steven Blankaart ??? Why is he remembered in the field of Psychology ????
Best of Luck !!!!!
Uelewa wako mkuu unatia shaka,hujui kuwa kunasomo la saikolojia?
kumbe sasa hivi somo limebadilika na linaitwa saikolojia na siyo tena saikorojia? haya pamoja na kukusanifu kote huku bado hujishtukii tu? kweli wewe " ufyoko ".
We kweli mtoto.
Sasa huu si utoto huu?
We jamaa ndio maana watu wanasema una matatizo bila kujijua,tatizo la kukulia ukubwani ukiwa unakula nyumbani ndio hili.
Uki copy ujue na ku edi
Mtu kajieleza,na cha msingi ni mhusika kumtafuta na kuhakiki,na pia chuo kakitaka ambacho kinajuliakana na ni rahisi ku trace,sasa wewe unaleta utoto wa Mama.Wengine mngeendelea kuwa facebook,aisee yaani mnaboa kweli baadhi ya muda.
Boring !!!Boring!!! Boring
Shida ya huyu jamaa, ukweli yeye kwake mwiko. Sasa umemsaidia kumuonesha udhaifu wake anakimbilia central sijui huko central yupo juma nyosso anamsaidiaga kesi zake maana dah