Mwaka huu wakulima ni mwaka hasara ama faida kubwa. Ila pole sana

Mwaka huu wakulima ni mwaka hasara ama faida kubwa. Ila pole sana

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
11,250
Reaction score
24,081
Ukiona serikali ya sisiyemu imetoka mbio mbio kutoa tahadhari ya janga la njaa na kuwasihi wakulima watunze chakula ujue hali si rafiki kabisa.

Mwigulu nchemba kageuka kuwa Yusuphu wa kwa farao kutabiri kuwa tutunze chakula maana hali si hali.

Japo yupo sahihi maana hali inajionyesha yenyewe kuwa mvua zimekuwa za mgao kama umeme wa Tanesco na mara nyingi hazipo kabisa.

Kwa wakulima wazoefu mtakubaliana na mimi kuwa huu ni wakati wa hasara kubwa sana kwa wakulima wengi.

Mazao mengi hasa mahindi karanga yameharibiwa sana na mvua.

Kwa upande mwingine kuna baadhi ya wakulima wachache wata neemeka sana.

Kuna baadhi ya maeneo kwao wanaema hali si mbaya sana.

Mfano maeneo ya biharamlo(kagera)
Chato geita na nyanda za juu kusini wao hali si mbaya kama huku kwetu shinyanga na baadhi ya maeneo ya Tabora,Geita,Dom,singida ,manyara nk.

Hawa kwa uchache wao watapiga hela sana pamoja na wafanyabiashara walio weka stoko nafaka zao.

Si mpunga si mahindi wala maharange watapa faida mara dufu.


Kwa watu wenye mpnago wa kuanza ufugaji huu ndo muda mzuri sana wa kununua mifugo kama mbuzi na ng'ombe.

Wafugaji huuza kwa bei yoyote Ile ili apate hela akanujue mahindi(chakula)

Hivyo baada ya tu ya sikukuu ya Xmass wewe Anza kununua mifugo yako ilishe vizuri kwa miezi4 mbele then utakuja hapa na sadaka yako.

Ni rahisi sana kununua mbuzi kwa 70k then ukaja ukauza 200k! Baada ya miezi hiyo 4 au zaidi.

Kilimo kingine ambacho kitatupa faida wakulima hasa wenye mitaji ya kati na mikubwa ni kilimo cha umwagiliaji.

Zingatia kwenye ukame au uchache wa mvua vyanzo vingi vya maji hukauka hivyo ili utoboe walau uwe na water pump machine ukubwa wowote ule Inch2,3au 4 zote ni sawa tu.

Ukumbuke hata kenya hali si hali uganda wao si mbaya kivile japo siku zote ni wategemezi wetu hao wote akiwemo na mjomba kagame.

Kule Malawi,msumbiji mimi sina ufahamu sana kama na wao wanategemea sana bidhaa za kilimo kutoka kwetu.

Zaidi ya yote na wapa pole kwa hasara kubwa tulizopata msimu huu lawama zote ipewe ccm na machawa wake wote.

FB_IMG_1765900677352.jpg
 
Climate change ndio mzizi wa haya yote. Hata ufugaji hauna tija penye ukame. Suluhisho ni kilimo cha umwagiliaji na kujikita kuboresha sekta nyingine za uchumi.
 
Climate change ndio mzizi wa haya yote. Hata ufugaji hauna tija penye ukame. Suluhisho ni kilimo cha umwagiliaji na kujikita kuboresha sekta nyingine za uchumi.
Climate change ni natural phenomenon,zama za kilimo cha mvua zimepitwa na wakati. Serikali inatakiwa iwekeze kwenye ujenzi wa miradi mikubwa ya umwagiliaji, Tanzania ina maji ya kutosha kabisa.
 
Mkuu
Ukiona serikali ya sisiyemu imetoka mbio mbio kutoa tafadhari ya janga la njaa na kuwasihi wakulima watunze chakula ujue hali si rafiki kabisa.

Mwigulu nchemba kageuka kuwa Yusuphu wa kwa farao kutabiri kuwa tutunze chakula maana hali si hali.

Japo yupo sahihi maana hali inajionyesha yenyewe kuwa mvua zimekuwa za mgao kama umeme wa Tanesco na mara nyingi hazipo kabisa.

Kwa wakulima wazoefu mtakubaliana na mimi kuwa huu ni wakati wa hasara kubwa sana kwa wakulima wengi.

Mazao mengi hasa mahindi karanga yameharibiwa sana na mvua.

Kwa upande mwingine kuna baadhi ya wakulima wachache wata neemeka sana.

Kuna baadhi ya maeneo kwao wanaema hali si mbaya sana.

Mfano maeneo ya biharamlo(kagera)
Chato geita na nyanda za juu kusini wao hali si mbaya kama huku kwetu shinyanga na baadhi ya maeneo ya Tabora,Geita,Dom,singida ,manyara nk.

Hawa kwa uchache wao watapiga hela sana pamoja na wafanyabiashara walio weka stoko nafaka zao.

Si mpunga si mahindi wala maharange watapa faida mara dufu.


Kwa watu wenye mpnago wa kuanza ufugaji huu ndo muda mzuri sana wa kununua mifugo kama mbuzi na ng'ombe.

Wafugaji huuza kwa bei yoyote Ile ili apate hela akanujue mahindi(chakula)

Hivyo baada ya tu ya sikukuu ya Xmass wewe Anza kununua mifugo yako ilishe vizuri kwa miezi4 mbele then utakuja hapa na sadaka yako.

Ni rahisi sana kununua mbuzi kwa 70k then ukaja ukauza 200k! Baada ya miezi hiyo 4 au zaidi.

Kilimo kingine ambacho kitatupa faida wakulima hasa wenye mitaji ya kati na mikubwa ni kilimo cha umwagiliaji.

Zingatia kwenye ukame au uchache wa mvua vyanzo vingi vya maji hukauka hivyo ili utoboe walau uwe na water pump machine ukubwa wowote ule Inch2,3au 4 zote ni sawa tu.

Ukumbuke hata kenya hali si hali uganda wao si mbaya kivile japo siku zote ni wategemezi wetu hao wote akiwemo na mjomba kagame.

Kule Malawi,msumbiji mimi sina ufahamu sana kama na wao wanategemea sana bidhaa za kilimo kutoka kwetu.

Zaidi ya yote na wapa pole kwa hasara kubwa tulizopata msimu huu lawama zote ipewe ccm na machawa wake wote.

View attachment 3516268
Huko ulipo gunia la mpunga kimefika sh ngapi kwa sasa?
 
Climate change ndio mzizi wa haya yote. Hata ufugaji hauna tija penye ukame. Suluhisho ni kilimo cha umwagiliaji na kujikita kuboresha sekta nyingine za uchumi.
Sahihi lakini unatija pale ukinunua na kuwatunza then ukaja ukauza tena badae ndio kusudi langu.
Ukumbuke wafugaji wengi wanafuga kienyeji wewe unafuga kwa lisha chakula bandani kwa muda fulani.
 
Back
Top Bottom