Hali ilikuwa tofauti sana mwaka jana kipindi hiki, mvua zilikuwa zinanyesha balaa. Huenda mwakani kukawa na uhaba wa chakula...
Kukiwa na uhaba wa msosi hali itazidi kuwa jiwe, just imagine mwaka huu msosi upo lakini hali ngumu, vipi msosi ukikosekana.