Matukuta Jr
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 207
- 27
Unapoteza ela bure,bora uingie na gia ya UMD kuliko magamba
Mkuu, si vibaya tukianza kufahamiana!Mwaka 2015 ndio Uchaguzi Mkuu wa Tanzania(Udiwani,Ubunge na Urais) Mimi naenda Tabora Mjini ambapo ndio kwetu kuwania Ubunge wa tiketi ya CCM.
Kura za Maoni ndani ya Chama ndio zitakazonipa ridhaa ya kuwa candidate.
Mkuu, si vibaya tukianza kufahamiana!
Mimi pia nitakua huko kwa tiketi ya CDM, nafikiri nitakubwaga vibaya mno. Labda tu, ningependa kutumia fursa hii kukuasa USITHUBUTU kushindana nami, NITA KUTIMULIA VUMBI na utajiaibisha sana.
KARIBU KWA MCHUANO!!
Mkuu, si vibaya tukianza kufahamiana!Mwaka 2015 ndio Uchaguzi Mkuu wa Tanzania(Udiwani,Ubunge na Urais) Mimi naenda Tabora Mjini ambapo ndio kwetu kuwania Ubunge wa tiketi ya CCM.
Kura za Maoni ndani ya Chama ndio zitakazonipa ridhaa ya kuwa candidate.
Mkuu, si vibaya tukianza kufahamiana!
Mimi pia nitakua huko kwa tiketi ya CDM, nafikiri nitakubwaga vibaya mno. Labda tu, ningependa kutumia fursa hii kukuasa USITHUBUTU kushindana nami, NITA KUTIMULIA VUMBI na utajiaibisha sana.
KARIBU KWA MCHUANO!!
Naomba niwe meneja wa kampeni zako kitengo cha Propaganda.....Mimi natosha kabisa kuwabwaga wapinzani bila hata ya Masada wa Mwigulu!
CCM ndio Chama changu na siwezi kubadilisha chama kwa kuusaka Ubunge.
Naimani nitapita kwenye Kura za Maoni.
Naomba niwe meneja wa kampeni zako kitengo cha Propaganda.....Mimi natosha kabisa kuwabwaga wapinzani bila hata ya Msaada wa Mwigulu!
Sijui utakuwa mbunge gani hata kutetea hoja ndogo kama hii umeshindwa, wanaohama vyama nia si kuusaka ubunge bali kutafuta nafasi ya kuwasemea wananchi kwa uhuru na kusikika chukua hiyo kilaza wewe
Kuna hoja gani hapo?
Na ulijua nireply baada ya nini?
Vijana wa Babu utawajua!
Ha ha ha, sawa mkuu!Ndugu tuombeane heri,Afya na Uzima tele.
Uwezo wa kunishinda mimi huna!
Wewe ndo unataka kugombea ubunge? Rage tu ni hasara. Na wewe hasara zaidi unataka kugombea?
Ha ha ha, sawa mkuu!
Lakini kwani Babu yako Rage ameonesha nia ya kutokitamani tena, hicho kiti kwa muhula wa pili?
Mimi najua kazi yangu 2015 itakuwa nyepesi sana, ya kumng'oa huyo bwana, ili akahudumie Simba yake vizuri.
Nicas mimi na wewe tunafahamiana kupitia social media tu.
Lakini hiyo hasara unayoiona kwangu ndio itakayofanikisha mimi kuwa Mbunge.
#Nakukaribisha sana kwenye Team yang ya Ushindi.
Shauri yake agombee au asigombee lakini Demokrasia katika mchakatoi wa Kura za maoni itafanya kazi.
Hapa ndipo ninapoikubali CCM kupitia hatua za uteuzi.
Nakuonea huruma kwania Tabora Mjini itaendelea kuongozwa na Wabunge kutoka CCM!
Mwaka 2015 ndio Uchaguzi Mkuu wa Tanzania(Udiwani,Ubunge na Urais) Mimi naenda Tabora Mjini ambapo ndio kwetu kuwania Ubunge wa tiketi ya CCM.
Kura za Maoni ndani ya Chama ndio zitakazonipa ridhaa ya kuwa candidate.
Kwa nini hamtaki Rage agombee? Inajulikana wazi kuwa Chadema ndo itamtoa Rage na CCM yake Tabora