supermario
Member
- Dec 2, 2011
- 48
- 15
Raisi Kikwete wakati ana badili jina barabara ya Old Bagamoyo kuwa Mwai Kibaki sherehe ilifanyika morocco na kumalizikia hapo hapo. Lakini sasa hiyo barabara haifai. Maeneo ya TMJ hospital ni kero. Barabara ni mbovu mno na ni aibu kwa kweli. Foleni kubwa inasababishwa na kipande hicho. Mashimo mno, maji, barabara imelika kwa maji.
Hivi viongozi au manispaa wako wapi?
Hivi viongozi au manispaa wako wapi?