Mvuto wake umepungua

Hizo hekima na busara nna wasiwasi nazo.. Na michezo ya kijinga inaruhusiwa kwa mpenzi wako banaaa..
 
Hiii hali inawatokea sasa vijana wa vizazi cha sasaa,yaani sijui tatizo ni nini?
 
ha ha wakat unaanza piga papuchi ilikuwa kama apple saivi haileweki nyama za ndan zimetoka nje imekuwa ka uwa la alizeti et MVUTO UMEPUNGUA
Yaani kiuhalisia papuchi ni ile ile na ukiitia ni taamu saana,sababu ni mpya lakini ukiisha ikinai unaanza kuiona ina sura mbaya na tena imejikunja kunja na imetokwa na mapele meusiii na malenge lenge yenye rangi ya zambarau,halafi tule tu nyama twekunduuuu tunatokeza kwa pembeni, bila kusahau kale ka harufu ka utoko kama vile samaki aina ya TUNA FISH,sasa unajikuta unaangalia li dudu kama mikia ya pweza,hapo MADHARAU yanaanza,na ukitoka nje mitaani ukiona demu kakatiza unaanza kufikiria kwamba huyu atakuwa na APPLE kwenye chupi yake,baasi hapo unaanza kumfukuzia huku unasahau kwamba NYAMA NI ILE ILE hata ukibadili BUCHA,ukisha mpata ukamfunua utaona utaamu saana,ila ukiendelea kumfunua itafika siku utaona likitu limejikunja kunja kama PWEZA na hapo utaanza MADHARAU,halafu ukiona demu mwingine utaanza kudhania kwamba aah huyu atakuwa na zabibu kwenye chupi,na hapo utaanza KURUKA NA MATUNDA HUTAFIKIA coz demu anaweza kukukataa,HAPO UTAJISEMEA MOYONI AAAH DEMU GANI HUYU ANARINGA HIVI? KWANZA HANA MVUTO,ANA MIGUU YOTE YA KUSHOTO,ANANUKA KIKWAPA (SIZITAKI MBICHI HIZIIIIII),wanaume tuache tamaa ya fisi sababu mwanamke yeyote hana tofauti na mwingine,tatizo ni kutaka kujua nini kimekaa ndani ya chupi NGENI.
 
Daah inauma sana vijana tubadilike, miaka minne we unakula tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…