Moja ya kanuni kuu ya Simba katika kumla Nyati, anahitaji awe pekee yake. Wakiwa kundi na wakavimba kwa umoja wao, simba hamli nyati. Wanaishia kurushiana miguu tu. Kwenye video hii, yaelezwa msuguano wa simba na Nyati ulitumia takribani dakika 30, na simba hakupata kitu.
Kama wasemwavyo waethiopia, Buibui wakiungana na kutengeneza utando kwa umoja, wanaweza mnasa hadi simba. —UMOJA.