Unajidanganya mkuuHizo nywele ni ishara ya baraka na hekima za ziada ambazo Mungu amekubariki.
Hupaswi kuzificha wala kuziondoa
PichaaYaani sijui ikoje..wenye hizi nywele nyeupe hawazitaki lakini wasiokuwa nazo wanazitaka..mfano wasanii wa muziki naona wengi wanajipaka weupe kwenye nywele zao
Aisee nimeona zinaninyemelea nyemelea nikawa dissapoint kidogo,kumbe mvi ni baraka 🤔Hizo nywele ni ishara ya baraka na hekima za ziada ambazo Mungu amekubariki.
Hupaswi kuzificha wala kuziondoa
Research yako ulifanyika wapi mkuu na ukubwa wa sampuli upoje?Kitunguu swaumu kinauwezo wa kuondoa mvi zako kichwa na kubaki na nywele nyeusi kama wengi wanavyopenda.
Mvi huwa ni dalili kubwa kuwa unaanza kuzeeka ingawa wapo ambao huwa na mvi za kurithi kwani hata wakiwa na umri mdogo huzipata mvi hizo.
Wengi wanaochukia mvi ni wale ambao huwajia mapema kabla ya uzee sasa ili kuepuka mvi hizo ndio nakuelekeza cha kufanya.
Jinsi ya kuondoa mvi;
Chukua kitunguu swaumu menya punje tatu (unywe na maji asubuhi, mchana na usiku) kwa siku unatakiwa kumeza vipunje 9. Fanya hivyo kwa muda wa miezi mitatu mpaka minne mvi zote zitaondoka.
Ooh! Nimeelewa sasa Swahiba. Hahahahaaa. lol.Aisee nimeona zinaninyemelea nyemelea nikawa dissapoint kidogo,kumbe mvi ni baraka 🤔
Haswaa, jidai nazo sio wote wanabarikiwa nazo.!Aisee nimeona zinaninyemelea nyemelea nikawa dissapoint kidogo,kumbe mvi ni baraka
😀😀😉Ooh! Nimeelewa sasa Swahiba. Hahahahaaa. lol.
🧢