Hakika ni huzuni sana tumuombe mungu azirehemu roho za marehemuwote wapumzike kwa amani ya bwana ameni pia vyombo vya ulinzi na usalama wkishirikiana na raia hakika wamefanya kazi kikubwa hakika ni ushirikiano mkubwa ambayo ni ishara ya umoja.BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.