Hii nchi ina maajabu sana. Muungano wenyewe umeidhinishwa na watu wawili pekee! Yaani hakuna hata mwananchi wa upande wowote ule aliyeshirikishwa kwenye kuuridhia!! Muungano wa hovyo kabisa huu.
distraction from the real issues.muungano ghafla umekuwa na shida miaka hii.? unadhani waZanzibar wanajisikiaje raisi wao kila siku anachaguliwa na "wagogo" Dodoma kilomita zaidi ya 400 kutoka kwao?
we have a common enemy with them nao ni kile chama
distraction from the real issues.muungano ghafla umekuwa na shida miaka hii.? unadhani waZanzibar wanajisikiaje raisi wao kila siku anachaguliwa na "wagogo" Dodoma kilomita zaidi ya 400 kutoka kwao?
we have a common enemy with them nao ni kile chama