Umeeleweka mkuu..ndo maana nimesema tuache muda sasa ufanye kazi yake...Balla conte ni midfield defender ni mcheza mzuri sana. Alikuwa anaitaji na vilabu vya ulaya sema walitoa offer ndogo sana.
Hata zamalek pia.
Ishu ya kufungwa hio ni nishu nyingine.
Unapotafuta mchezaji mzuri unaangali mchezaji yeye kama yeye jinsi anavyocheza na uwezo wake akiwa uwachanjani,
Ishu ya timu kupata matokeo uwanjani inatemeana na timu mzima kwa ujumla .
Ungemchukua pacome afu umpeleke ken gold , bado wangeshuka tuu daraja
Simba tupo level ya kimataifa hii ya ndani mnamfunga Mangungu...πHivi simba ndo hao walifungwa na yanga mechi tano mfululizo au
Sio ranking za CAF!Kitu pekee SIMBA wanaweza kushindania na YANGA na wakashinda ni "kupiga kelele"
Kweli Aucho atakuwa anaondoka.Wakuu
====
Habari ya Khalid Aucho imeishia hapa?
Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo wa CS Sfaxien, Mussa Balla Conte (21) kwa mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2028.
Conte, ambaye pia alikuwa kwenye rada za Simba SC, ametua akitokea Tunisia na kupokelewa na viongozi wa Yanga SC kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho kabla ya kusaini mkataba rasmi.
Nyota huyo anatajwa kuwa mmoja wa viungo wenye kipaji kikubwa na uwezo wa kucheza kama kiungo wa kati au mkabaji, na Yanga SC wanaamini atakuwa nyongeza muhimu katika kikosi chao kuelekea msimu wa 2025/26.
Habari yako dadaKwani ndo ana nini huyo Balla Hatun?
Utafikiri labda ni Messi sijui...
Yani ukiingia mtandaoni unashangaa...asije akaw kama Birigimana...ππππ€£π€£π€£π€£
Endeleeni kuwekeza kwenye PROPAGANDA na kuwahonga wachambuzi uchwara ili waichafue YANGAQmaamake viongozi wa simba dah!, sio siri wanatutesa sana mashabiki alafu tukisema tunaonekana wachawi sijui, binafsi naanza kumuelewa Mchome
Njema dia...Habari yako dada
ππNjema dia...
Yanga nao ndo wanafanya nin sasa. Wanasajiri Conte alafu wanamuacha Aucho wakati bado yuko vizuri sana. Hiyo namba wangekaa nao wote ili mmoja akikosekana gap lisionekaneNi bonge la mchezaji wacha tuendelee kuwafunga wazee wa kuzuiws getini.
Mbona mnalia nyinyi sasaπππSimba tupo level ya kimataifa hii ya ndani mnamfunga Mangungu...π
Kwani huyu ni nani? Ana ubora gani?Wakuu
====
Habari ya Khalid Aucho imeishia hapa?
Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo wa CS Sfaxien, Mussa Balla Conte (21) kwa mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2028.
Conte, ambaye pia alikuwa kwenye rada za Simba SC, ametua akitokea Tunisia na kupokelewa na viongozi wa Yanga SC kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho kabla ya kusaini mkataba rasmi.
Nyota huyo anatajwa kuwa mmoja wa viungo wenye kipaji kikubwa na uwezo wa kucheza kama kiungo wa kati au mkabaji, na Yanga SC wanaamini atakuwa nyongeza muhimu katika kikosi chao kuelekea msimu wa 2025/26.
Aucho waarabu wamefika bei kubwa sana huko uarabuni pesa ambayo Yanga wasingeweza kumbakisha viungo Yanga vipo vya kumwaga ingawaje mwanzo gap litaonekana ila watakaa sawa tu.Yanga nao ndo wanafanya nin sasa. Wanasajiri Conte alafu wanamuacha Aucho wakati bado yuko vizuri sana. Hiyo namba wangekaa nao wote ili mmoja akikosekana gap lisionekane
Aucho yuko sawa wacha ukachukue mpunga kabla hajastaafu! Hatumdai chochote Aucho ameitendea haki klabu! Ila siyo uarabuni nilisikia ni Vietnam!Aucho waarabu wamefika bei kubwa sana huko uarabuni pesa ambayo Yanga wasingeweza kumbakisha viungo Yanga vipo vya kumwaga ingawaje mwanzo gap litaonekana ila watakaa sawa tu.
Ngoja nakuletea clip Ahmed analia π nadhani utaelewaKwani ndo ana nini huyo Balla Hatun?
Utafikiri labda ni Messi sijui...
Yani ukiingia mtandaoni unashangaa...asije akaw kama Birigimana...ππππ€£π€£π€£π€£
Ok sawa aende kokote akachukue mpunga mrefu huku sisi kafanya kazi ya kutosha wacha akavune kwa miaka miwili iliyobakia..Aucho yuko sawa wacha ukachukue mpunga kabla hajastaafu! Hatumdai chochote Aucho ameitendea haki klabu! Ila siyo uarabuni nilisikia ni Vietnam!
Umri ushaenda aucho, nguvu zimepungua.Yanga nao ndo wanafanya nin sasa. Wanasajiri Conte alafu wanamuacha Aucho wakati bado yuko vizuri sana. Hiyo namba wangekaa nao wote ili mmoja akikosekana gap lisionekane