Murder Or suicide?

Need to investigate more,..ila na wasiwasi na icho kitu apo could ave been murder,
 
Alikuwa anajisomea masking kapigwa binduki kutokea upande wa kushoto
Cc: Mahondaw
 
Kajipiga risasi na bado akaweza kuishikilia bastola?
Mkuu ni murder hiyo....na hiyo note haitambulishi ( muuaji ) ndo maana kaiacha hapo hapo ingekuwa ina m identify killer asingeacha baada ya mauaji hayo.
 
same idea
 
Angalia ndala,
Angalia stuli,
Angalia champagne bottle,
Angali switch ya Taa,
Angalia Damu Ukutani,
Angalia pistol,
Angalia sigara mkononi,
Angalia kipande cha karatasi mezan,
Angalia kwa Makini

Suicide ama murder?????
 
It's a murder...

1: angalia kalamu ilipo lalia inamaanisha alie andika alikua left handed na kama ndivyo marehemu ilitakiwa gun iwe mkono wa kushoto

2: ukiangalia dirishani ni kama ilikua ni majira ya usiku hivyo marehemu kama kweli aliandika wosia ilitakiwa taa iwe on but ukifatilia taa waya uko disconnected (taa iko off)

3: uelekeo wa miguu ya stuli na mwili wa marehemu. Marehemu alitakiwa alalie ubavu wa kulia na sio kushoto

4: ndala inaonyesha wazi marehemu alikua amesimama na si kukaa mguu wa kulia uko juu na ndala ya kulia pembeni

5:kasha la sigara lina damu, how come marehemu ana sigara mkononi? That means alishikishwa sigara na muuaji

6: kulikua na mtu zaidi ya mmoja mezani kuna cocacola kwenye dustbin kuna chupa tofauti

Nawasilisha
 

Umesema vema Mtaalam. Ila kuna sehem kidogo nakusahish.

Mtu anaaweza changany mikono.


Mfano. Mimi naandika na kulia , kuchop vitu ni kulia, kumenya ni shoto and targeting n shooting kwa gun au rifle nafanya na shoto pia.
 
Umesema vema Mtaalam. Ila kuna sehem kidogo nakusahish.

Mtu anaaweza changany mikono.


Mfano. Mimi naandika na kulia , kuchop vitu ni kulia, kumenya ni shoto and targeting n shooting kwa gun au rifle nafanya na shoto pia.
Yes, inawezekana kabisa kwa baadhi ya watu
 
Hii ni murder
Inaonekan alikuw anasoma huku akivuta sigara kwa mbaliii...
Pia ukiangalia damu ilipo na yy inaonekan kabisa aliwahiw..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…