Je math haiwezi ika take nafasiDuuuuu. Physics imekuangusha big time! Pole sana!
Duuuu sijui sana mkuu! Jaribu bahati yako! Lkn kwa kidogo nachojua ni kuwa masomo ya physics yana matter sana kwenye taaluma za afya!Je math haiwezi ika take nafasi
Bios n chemistry si unaziona hapo mbn 2010 nilipata chuo direct chuon ila mpunga ukazingua sikuenda sasa nmepiga debe nimeunyaka mpungaDuuuu sijui sana mkuu! Jaribu bahati yako! Lkn kwa kidogo nachojua ni kuwa masomo ya physics yana matter sana kwenye taaluma za afya!