Enyi wahudumu wa Mabasi ya mikoani; hii tabia ya safari nzima screen zenu zinacheza nyimbo za Diamond na wanaijeria tu siipendi.. Kwann Hip Hop inapotezewa? Mungu anawaona.
we unaekula mapera mabichi makusudi na hunywi maji mengi afu ukienda toi "vima" yanagoma kutoka unaamua kuMOGOA kimya kimya eti hakuna anayekuona!? Mungu anakuona!.