CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Pole binti mama ana umri gani? then nitakupa ushauri wanguHabari,
Mimi ni mdada wa miaka 25, Nimeolewa Disemba mwaka jana.Yamenikuta mimi ninampenda sana mume wangu (lakini mmmh). Kwa ufupi mimi nimezaliwa peke yangu kwa baba na mama but baba alifariki 1998 nikiwa mdogo sana, mama yangu hakuolewa tena.
Basi maisha yakaenda poa sana kwasababu babu yangu alikuwa na kipato sana pia mama ni mfanyakazi so nikasoma hadi form 6, nikaenda London kwa Degree na Master nikamaliza 2013. Basi nikarud Tanzania.
Nikapata kazi nzuri sana na yenye kipato kizuri, so nikawa naishi na mama yangu vizuri sana.
Mwaka juzi mwezi wa 3 nilikutana na huyu mume wangu aliyenioa, basi mahusiano yalikuwa mazuri sana ikafika kipindi ikabidi nikamtambulishe kwa mama.Basi akawa anakuja home hadi ulipofika muda wa kuoana.
Sasa mimi sijui chochote kinachoendelea kati ya mama na mume wangu, yaani (..) mama yangu ana miaka 39 kwa sasa kwani mimi 25, aliwahi kuzaa sana so tunaendana sana.
Mume wangu ana miaka 34, Sasa mimi nilikuwa najiuliza mbona Mume wangu na mama yangu wako karibu sana but nikasema no its my mam hakuna baya.
Ikaendaaa muda kidogo, sasa jana usiku mume wangu alirudi saa 6 usiku kwa mara ya kwanza toka tumeoana, leo asubuhi akaenda mazoezi, nikachukua simu yake nikakutana na meseji hizi.
mume wangu: nimefika lv
mama yangu: oky lv tell ume enjoy sex
mume wangu: Sana na kesho tena tukutane mapema sana nataka nime na mda wa ku enjoy zaidi au unasemaje?
mama yangu: Okey pouwa usijali nitafanya utakavyo sina pingamizi usisahau kufuta msg si unajua tena lv binti asije akaona
mme wangu: usijali kipenzi.
Basi nikarudisha simu nikachukua piliton 2 nikanywa nikalala, now ndio nimeamka.
I don't knw wat to do, plz nisaidieni sijamwambia mtu.
Msaada plz nahisi
Likikufika ndio utaelewaPotezea tu,so long utamu wako unaula na mama yako wala hakuna baya hapo.
Pole sana mdogo wangu; simama imara katika imani yako; utavuka tu; ndio majaribu ya maisha hayo.Habari,
Mimi ni mdada wa miaka 25, Nimeolewa Disemba mwaka jana.Yamenikuta mimi ninampenda sana mume wangu (lakini mmmh). Kwa ufupi mimi nimezaliwa peke yangu kwa baba na mama but baba alifariki 1998 nikiwa mdogo sana, mama yangu hakuolewa tena.
Basi maisha yakaenda poa sana kwasababu babu yangu alikuwa na kipato sana pia mama ni mfanyakazi so nikasoma hadi form 6, nikaenda London kwa Degree na Master nikamaliza 2013. Basi nikarud Tanzania.
Nikapata kazi nzuri sana na yenye kipato kizuri, so nikawa naishi na mama yangu vizuri sana.
Mwaka juzi mwezi wa 3 nilikutana na huyu mume wangu aliyenioa, basi mahusiano yalikuwa mazuri sana ikafika kipindi ikabidi nikamtambulishe kwa mama.Basi akawa anakuja home hadi ulipofika muda wa kuoana.
Sasa mimi sijui chochote kinachoendelea kati ya mama na mume wangu, yaani (..) mama yangu ana miaka 39 kwa sasa kwani mimi 25, aliwahi kuzaa sana so tunaendana sana.
Mume wangu ana miaka 34, Sasa mimi nilikuwa najiuliza mbona Mume wangu na mama yangu wako karibu sana but nikasema no its my mam hakuna baya.
Ikaendaaa muda kidogo, sasa jana usiku mume wangu alirudi saa 6 usiku kwa mara ya kwanza toka tumeoana, leo asubuhi akaenda mazoezi, nikachukua simu yake nikakutana na meseji hizi.
mume wangu: nimefika lv
mama yangu: oky lv tell ume enjoy sex
mume wangu: Sana na kesho tena tukutane mapema sana nataka nime na mda wa ku enjoy zaidi au unasemaje?
mama yangu: Okey pouwa usijali nitafanya utakavyo sina pingamizi usisahau kufuta msg si unajua tena lv binti asije akaona
mme wangu: usijali kipenzi.
Basi nikarudisha simu nikachukua piliton 2 nikanywa nikalala, now ndio nimeamka.
I don't knw wat to do, plz nisaidieni sijamwambia mtu.
Msaada plz nahisi
Pole binti mama ana umri gani? then nitakupa ushauri wangu
umeniwahi ndugu yangu, huu ubuyu wa motohii hadithi mtu mwenye masters una uhandishi mbaya hivo khaa
Ok ngoja nilisome tena. Lakini ushauri wako nadhani huna mtoto wa kike, labda una mama. Unavyosema wewe unatembea na mama yako mnashare na baba. Is this right to you to hearNahisi hukusoma vyema bandiko lake?
Anyway waendelee tu kula wote manake ubinafsi ndio utakao mtesa huyu binti.
Mkuu inawezekana ni panic ya kilicho mkuta... jiweke kwenye position yake, kama wewe ni Me basi mkeo awe anagegedwa na baba yako.... ili mradi umeelewa basi mpe ushauri au potezea tu mkuu...hii hadithi mtu mwenye masters una uhandishi mbaya hivo khaa
Aisee huyo mume hafai ukisikia mtu anaachwa kwa sababu za msingi ndo km hizo walipue tu wajue kosa lao na ikiwezekana wajuze hata mama zako wadogo au wakubwa juu ya hili maana ndo wakaribu yake usifanye peke yako naamini hata wajomba wapo.
Than mbwage huyo mumeo hana sifa hata ya thumni kuwa mume ikiwa kashindwa kuepuka mitego ya mama mkwe hakuna mtego atako uwepuka abadan chini ya jua kujikwaa sio tatizo ila tatizo kuwa kujikwaa alafu ukaumia na kuwa kilema ktk maisha yako.
Inukaa kimbia daah jamaa ni zaidi ya Iblisi ila kwa mama yako adhabu yake iwe hiyo tu ya kwamba umejua uchafu wake usiende mbali zaidi
pole dada yangu, hapo wote wanamakosa, nadhan mama alimchokoza mumeo. Sidhan kama kuna mwanaume anaweza muanza mama mkwe wake.Habari,
Mimi ni mdada wa miaka 25, Nimeolewa Disemba mwaka jana.Yamenikuta mimi ninampenda sana mume wangu (lakini mmmh). Kwa ufupi mimi nimezaliwa peke yangu kwa baba na mama but baba alifariki 1998 nikiwa mdogo sana, mama yangu hakuolewa tena.
Basi maisha yakaenda poa sana kwasababu babu yangu alikuwa na kipato sana pia mama ni mfanyakazi so nikasoma hadi form 6, nikaenda London kwa Degree na Master nikamaliza 2013. Basi nikarud Tanzania.
Nikapata kazi nzuri sana na yenye kipato kizuri, so nikawa naishi na mama yangu vizuri sana.
Mwaka juzi mwezi wa 3 nilikutana na huyu mume wangu aliyenioa, basi mahusiano yalikuwa mazuri sana ikafika kipindi ikabidi nikamtambulishe kwa mama.Basi akawa anakuja home hadi ulipofika muda wa kuoana.
Sasa mimi sijui chochote kinachoendelea kati ya mama na mume wangu, yaani (..) mama yangu ana miaka 39 kwa sasa kwani mimi 25, aliwahi kuzaa sana so tunaendana sana.
Mume wangu ana miaka 34, Sasa mimi nilikuwa najiuliza mbona Mume wangu na mama yangu wako karibu sana but nikasema no its my mam hakuna baya.
Ikaendaaa muda kidogo, sasa jana usiku mume wangu alirudi saa 6 usiku kwa mara ya kwanza toka tumeoana, leo asubuhi akaenda mazoezi, nikachukua simu yake nikakutana na meseji hizi.
mume wangu: nimefika lv
mama yangu: oky lv tell ume enjoy sex
mume wangu: Sana na kesho tena tukutane mapema sana nataka nime na mda wa ku enjoy zaidi au unasemaje?
mama yangu: Okey pouwa usijali nitafanya utakavyo sina pingamizi usisahau kufuta msg si unajua tena lv binti asije akaona
mme wangu: usijali kipenzi.
Basi nikarudisha simu nikachukua piliton 2 nikanywa nikalala, now ndio nimeamka.
I don't knw wat to do, plz nisaidieni sijamwambia mtu.
Msaada plz nahisi
14 mkuu soma tena... mama ana 39mnapishana umri na mama mzazi kwa miaka 11.. ndo mapema aliyokuzaa uliyo ongelea au umekosea hesabu..
Pole sana. Itisha kikao cha watu wazima wa karibu na familia zote mbili na mama yako na mume wako wawepo kisha ueleze kikao sababu ya kuwaita na kuelezea yale uliyoyaona kwenye simu ya mumeo. Ila uwe tayari kukabiliana na yatakayojiri ikiwemo kuvunjika kwa ndoa yako na kujenga uadui mkubwa sana kati yako na mama yako. Pole sana.
Pole sana. Achana na huyo mume tafute mwingine ikizingatiwa kuwa bado ni binti tena mwenye elimu. Huyo mwanaume atakuharibia maisha achana nae tafuta kinda mwenzio (miaka 27-30) mtaendana jitu zima hilo hachana nalo liendelee na mijimama. KUWA MAKINI SANA USIJE KUISHIA KWENYE MAISHA KAMA YA MAMA YAKO.
pole dada yangu, hapo wote wanamakosa, nadhan mama alimchokoza mumeo. Sidhan kama kuna mwanaume anaweza muanza mama mkwe wake.
Hivi hizi stor za kutunga zinakusaidia nn? Anyway wakamate hao hao wanaohangaika kukupa ushaur wakat imeonekana dhahir kuwa ww ni mwongosijasema mama aliolewa bali nimesema baba alifariki lakini babu alikuwa na uwezo
Achana na mumeo. mama yako bado mdogo hawataacha hao. Kubali ndoa iishie hapo!Habari,
Mimi ni mdada wa miaka 25, Nimeolewa Disemba mwaka jana.Yamenikuta mimi ninampenda sana mume wangu (lakini mmmh). Kwa ufupi mimi nimezaliwa peke yangu kwa baba na mama but baba alifariki 1998 nikiwa mdogo sana, mama yangu hakuolewa tena.
Basi maisha yakaenda poa sana kwasababu babu yangu alikuwa na kipato sana pia mama ni mfanyakazi so nikasoma hadi form 6, nikaenda London kwa Degree na Master nikamaliza 2013. Basi nikarud Tanzania.
Nikapata kazi nzuri sana na yenye kipato kizuri, so nikawa naishi na mama yangu vizuri sana.
Mwaka juzi mwezi wa 3 nilikutana na huyu mume wangu aliyenioa, basi mahusiano yalikuwa mazuri sana ikafika kipindi ikabidi nikamtambulishe kwa mama.Basi akawa anakuja home hadi ulipofika muda wa kuoana.
Sasa mimi sijui chochote kinachoendelea kati ya mama na mume wangu, yaani (..) mama yangu ana miaka 39 kwa sasa kwani mimi 25, aliwahi kuzaa sana so tunaendana sana.
Mume wangu ana miaka 34, Sasa mimi nilikuwa najiuliza mbona Mume wangu na mama yangu wako karibu sana but nikasema no its my mam hakuna baya.
Ikaendaaa muda kidogo, sasa jana usiku mume wangu alirudi saa 6 usiku kwa mara ya kwanza toka tumeoana, leo asubuhi akaenda mazoezi, nikachukua simu yake nikakutana na meseji hizi.
mume wangu: nimefika lv
mama yangu: oky lv tell ume enjoy sex
mume wangu: Sana na kesho tena tukutane mapema sana nataka nime na mda wa ku enjoy zaidi au unasemaje?
mama yangu: Okey pouwa usijali nitafanya utakavyo sina pingamizi usisahau kufuta msg si unajua tena lv binti asije akaona
mme wangu: usijali kipenzi.
Basi nikarudisha simu nikachukua piliton 2 nikanywa nikalala, now ndio nimeamka.
I don't knw wat to do, plz nisaidieni sijamwambia mtu.
Msaada plz nahisi