Duh! Pole zake dada wa watu! Usikute wala hakujua kama anatembea na mume wa mtu masikini!
si ndio hapo sasa jamani,ila wengin wanajua wanasema tutabanana humuhumu!Duh! Pole zake dada wa watu! Usikute wala hakujua kama anatembea na mume wa mtu masikini!
labda jamaa jina lake linaanzia na V,so kachorwa hiyo ili kila akilisikia hilo jina akumbuke haya maumivu..lolI guess it was NOT on valentine....mbona ameandikwa V....??
Sio wanaume tu wanaotakiwa kutoa taarifa hata nyie kina mama mnatakiwa vile vile kutoa taarifa ya marital status zenu ili kumsaidia kutoa uamuzi sahihi wa kuanzisha mahusiano. Lakini kama unamfahamu huyu ni mke/mme wa mtu njia sahihi na salama ya kuepukana na mambo kama haya ni kuachana kabisa na wake/waume za watu. POLE LAKINI BINTI KWA YALIYOKUPAhiyo ndio shida masikini...anabahati huo wembe umepita mara moja, wanaume muwe mnatoa taarifa basi ili mtu ajipange kwa mashambulizi
Kula mume au mke wa mtu, ruksa! Ila jifiche kabisaaaaaaaaa!Sio wanaume tu wanaotakiwa kutoa taarifa hata nyie kina mama mnatakiwa vile vile kutoa taarifa ya marital status zenu ili kumsaidia kutoa uamuzi sahihi wa kuanzisha mahusiano. Lakini kama unamfahamu huyu ni mke/mme wa mtu njia sahihi na salama ya kuepukana na mambo kama haya ni kuachana kabisa na wake/waume za watu. POLE LAKINI BINTI KWA YALIYOKUPA
Kula mume au mke wa mtu, ruksa! Ila jifiche kabisaaaaaaaaa!
Kula mume au mke wa mtu, ruksa! Ila jifiche kabisaaaaaaaaa!
Hizo ndio niguse nikuchane chane na kiwembe!!Watu hawacheleweshi, hicho sijui ni wembe au kisu....
si ndio hapo sasa jamani,ila wengin wanajua wanasema tutabanana humuhumu!
ooh binti mzuri kapata mikovu maskini!
...akili ya kujificha hutoweka pale utamu unapokolea.mtu anadhani ni mali zake anaanza kujiachia na balaa ndio huanzia hapo.Kula mume au mke wa mtu, ruksa! Ila jifiche kabisaaaaaaaaa!
lol mapenzi ni kikohozi mkuu...huyo jamaa yake,kidumu chake,buzi lake kwa nini hakumgombelezea?kweli unakubali mwenzio anachanwa hivyo unaangalia? sisi wanaume lazima tujue kuwa usalama wa wenzetu tulio nao ni juu yetu 100% at any cost.Kwa kweli huyo jamaa namlaumu sana,anapenda raha tu yatokanayo hana habari.
mkuu simu kuandikishwa haisaidii kitu...watu wanamega tu....simu zote zitakapokuwa zimeandikishwa.
where? how? when? why?Kweli kama alivyosema Geoff wewe KIMEO.Kimeeeo kimeo.
ouch!Hizo ndio niguse nikuchane chane na kiwembe!!
mmmmmh...matokeo yake ndo hayo!...akili ya kujificha hutoweka pale utamu unapokolea.mtu anadhani ni mali zake anaanza kujiachia na balaa ndio huanzia hapo.