Mume wa kiislamu anahitajika

Ningekutafuta ila sina vigezo.
Vuta subra utampata.
 
Dah gari ununue imeenda mileage nyingi hadi wife ok ngoja watakuja wenye umri wao na swala tano. Sina kigezo ata chembe hapo.
 
Kati ya "uhuru" ambao sisi tulikosa ndio huu. Najua angekuwa wa huu upande mwingine lazima kingekuwepo kigezo cha "asiwe ameoa"...
 
Reactions: Mbu
Nina miaka 37 na mtoto 1 wa kiume mkubwa
Kwa hiyo mwanaume aliyekupa mimba ya huyo mtoto mlikuwa mnatembea naye tu kwa muda? Hebu tuwekee kwanza mazingira ya kupatikana huyo mtoto
 
una uhakika unataka "mume wa kiislamu" ama umemaanisha "mume muislam?"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…