Mimi hapa ila nina mtoto wa kwanza (huyu sijasingiziwa)
na saivi nina mwingine nimeambiwa mtu ana ujauzito wangu
ila nina vigezo bwana,we usijione utapata mtoto unweza ukawa mgumba
utanikumbuka nakwambia,usiniache nipite hivi hivi we dada/mama shauri lako.