Mulongo magesa hajahamishwa Arusha

Mulongo magesa hajahamishwa Arusha

samanya

Member
Joined
Feb 1, 2011
Posts
48
Reaction score
6
Kumekuwa na uzushi wa muda mrefu sasa kama week mbili kwenye mitandao na vijiwen hapa Arusha kuwa mkuu wetu wa mkoa anahanishwa

Magesa alipokuja Arusha halmashaur karibia zote zilikuwa zimeoza mfano Arusha manispaa ilukuwa imejaa wezi akawasambaratisha Monduli pesa zaidi ya milioni mia tatu zilikuwa zimetafunwa Karatu ufisadi mradi wa maji na viwanja vya wananchi kuuzwa kiolela

Amesimamia ujenzi wa barabara Arusha kila kona ni lami kwasasa maandamano ya chadema amefanikiwa kuyadhibiti na Arusha sasa inakalika

Kumwamisha Mulongo Arusha nikuifanya Arusha kuwa pango la wanyanganyi kama ilivyokuwa mwanzo

Propaganda hizi zinaenezwa na viongozi wa cdm kwakikao chao kilichokaa pale protea Machame wakishirikiana na wanamtandao wengine ndani ya CCM ambao wanamwona Mulongo kama kizuizi cha kwenda magogoni 2015
 
Mpuuzi taslimu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom