Mukama, Lowassa wamchefua JK

Mukama aache unafiki nakumbuka aliwahi kumpinga Nape wakati fulani kuwa hakutumwa na chama wala chama hakikutaja majina leo anasema mafisadi wanajulikana.

Utajuta kumpenda lowassa.....ngoma bado mbichi,hakuna kulia!
 
Naona hatari hapo mbeleni...lowasa anakuja kivingine na mukama kivingine...vita vya panzi furaha kwa kunguru,wacha wajeruhiane ili mwisho wa siku lichama lao life tu!

Bahati mbaya sana chadema badala ya kuitumia vizuri nafasi hii kujiimarisha nao wako busy kuchukua upande wa kuyashabikia makundi yanayokinzana ndani ya ccm!!utamsikia mtu chadema damu anakwambia mi namuunga mkono lowassa!!! wat????we lowassa ankuhusu nini,waachie watu ccm makada wao,wewe jenga chama chako!
 

JK-Aukate mzizi wa fitina kwa kuwa kuwacheua wote wawili. Wakimshinda, atumie mapanga yake ya mbao a.k.a Nape + Chiligati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…