Asante mkuu..! Kwa ushauri mzuriKama unaangalia future yako ya ajira na kujiendeleza kimasomo nenda Muhimbili na kama unataka uishie mtaani kwenye viji-dispensary vya akina Ngowi na Macha huku ukiwa na Diploma yako ya Clinical Officer basi nenda Lugalo, Naomba nikuelimishe kwa kifupi sana, Ukiwa na diploma ya Nursing ukienda nje Kenya, Namibia, South Africa, Malaysia etc utapata kazi lakini hiyo diploma ya Clinical officer mwisho wake ni Zanzibar na hapo sasa amua kusuka au kunyoa!
Nimechaguliwa Diploma in Nursing And Midwifery chuo cha MUHIMBILI SCHOOL OF MIDWIFERY na OR-TAMISEMI kwenye selection za kidato cha tano, vyuo vya Afya na ufundi 2019/2020. Lakini mimi kwenye selform tulizojaza shuleni niliomba Clinical Medicine LUGALO na Medical Laboratory Sciences Singida College of Health and technology, Nataka kuhama hiyo Nursing niende hizo kozi niliokuwa nimeomba hapo awali, lakini kuna ndugu, jamaa na marafiki wanasihi niende tu hapo Muhimbili Nursing. Natunguliza shukrani naombeni ushauri wakuu wazoefu
Wakiume utasomaje nesi mzee baba
Nyie Ndiyo mnajiita Dr nesi huku kazini
Nenda CO au Lab
Mawazo ya kuwa nursing ni kazi ya wanawake yamesha pitwa na wakati. Ukisoma kwa bidii nursing inakufikisha mbali. Siku hizi kuna hata degree za nursing na nimekutana na manesi ambao wamefika mbali wengine wakiwa wahadhiri vyuo vikuu pamoja na vyuo vya Tiba wakiwafundisha hao madakitari wanafunzi.Asante broo ndio maana nikaomba ushauri kabla ya maamuzi
Kama unaangalia future yako ya ajira na kujiendeleza kimasomo nenda Muhimbili na kama unataka uishie mtaani kwenye viji-dispensary vya akina Ngowi na Macha huku ukiwa na Diploma yako ya Clinical Officer basi nenda Lugalo, Naomba nikuelimishe kwa kifupi sana, Ukiwa na diploma ya Nursing ukienda nje Kenya, Namibia, South Africa, Malaysia etc utapata kazi lakini hiyo diploma ya Clinical officer mwisho wake ni Zanzibar na hapo sasa amua kusuka au kunyoa!
Kwani C.O hawezi kujiendeleza?anaweza soma C.O akimaliza akasoma MD na watu wengi wamepita hiyo njia. Unasema kuishia mtaani kwenye vidispensari ndugu umeongea usiyoyajua...nenda kwenye vituo vya afya ma C.O wapo wa kutosha.Kwa miaka 3 serikali kwa upande wa afya imeajiri watu wengi wenye diploma kwahiyo acha kupotosha
Hii ni ajabu ya Kipofu kumwonyesha njia mwenye macho
Nenda Clinical Officer.Mimi nataka Clinical Officer hapo LUGALO lakini wadau wananishauri niende muhimbili tu. Kwasababu pote nmepata naombeni ushauri nifanye maamuzi sahihi
Nenda Clinical Officer.
Kibongo bongo, Clinical Officer ana sifa/heshima kuliko Nursing...ingawa wote wana Diploma na mshahara ni sawa.
Nenda Clinical Officer.
Clinical officer ana kaOfisi chake saafi. Hata akiwa Mwanaume au mwanamke saafi.Huu ushauri ataukumbuka
Clinical officer ana kaOfisi chake saafi. Hata akiwa Mwanaume au mwanamke saafi.
Nesi sasa[emoji134]...Full kutumwa tumwa.
Kama kuna kuchagua machaguo mawili achague hiyo Clinical officer.
Kama kuna chaguo moja tu la Nesi, haina shida kwa kuwa hamna jinsi.
Asante broo angu Mimi acha niingie Nursing hapo Muhimbili wengi wanasema iko poa sana, halafu jambo kubwa sijui hiki chuo lini wanafungua maana sijapata joining instruction hata hawaleti.Mtoa maalda chaguo ni lako uende Muhimbili au Lugalo kila mtu nadhani ametoa yake kila kozi ya afya ina faida yake ni wewe tu kuangalia kipi kitakutoa.
Asante broo angu Mimi acha niingie Nursing hapo Muhimbili wengi wanasema iko poa sana, halafu jambo kubwa sijui hiki chuo lini wanafungua maana sijapata joining instruction hata hawaleti.
Muhas ipo Under TCU.Sawa mkuu lakini muhimbili kwan ipo under nini
Mkuu, wewe ni Female?Sawa mkuu lakini muhimbili kwan ipo under nini
Pouwa pouwa.Nahisi Wamekoxea kwa watu waliochaguliwa na OR-TAMISEMI wote mkuu ata rafiki yangu amechaguliwa hapo Dit na yeye wememuandikia female