MUHAS

dr nganamba

Member
Joined
Sep 27, 2016
Posts
34
Reaction score
6
Naomba jamani wakitoa majina ya waliochaguliwa muhas tuambiane ,,,,make washatujazia mastress knoumah yan,,,,kwa kweli hapa kazi tuuuu!
 
Mkuu! Hata hujaanza kusoma anatomy ushajiita doctor!!
Mwache ajishaue huyu anadhani ma anatomy..biochemistry,ma pathology ..mchezo sifa zingine za kijinga...ukimaliza md 5 ndio atleast uanze kujiita dokta...muhas si pa mchezo mchezo..watu walienda na division 1.3 wameondoka na gpa za 2.5 achilia mbali waliodisco
Na sasa hivi wamebadili system kidogo tu kwenu..
 
Mkuu! Hata hujaanza kusoma anatomy ushajiita doctor!!
Usikalili brooo,,,cyo kila anae itwa doctor anatib,,,wengine hupewa udoctor kwa heshima flan iv,,,,mfano dr jpm,,,,,dr kikwete,,,,,broo ww kinachokusumbua unakalili mno,,,,ila silaum ni takriban 89% ya watanzania wote!
 
Everything is pocble provided you show descipline and efort on what you want to achieve,,,,so ww unae sema muhas siyo pamchezo ndo ninyi mnakalilishwa na kuamin hvo,,,cha mcng ni kujiamin na kufanya yale yanayokuhusu,,,,,tatzo ninyivni ma gossip!
 
Everything is pocble provided you show descipline and efort on what you want to achieve,,,,so ww unae sema muhas siyo pamchezo ndo ninyi mnakalilishwa na kuamin hvo,,,cha mcng ni kujiamin na kufanya yale yanayokuhusu,,,,,tatzo ninyivni ma gossip!
Eti nna karirishwa eeh...
 
Usikalili brooo,,,cyo kila anae itwa doctor anatib,,,wengine hupewa udoctor kwa heshima flan iv,,,,mfano dr jpm,,,,,dr kikwete,,,,,broo ww kinachokusumbua unakalili mno,,,,ila silaum ni takriban 89% ya watanzania wote!
so wewe umepewa kwa heshima ya mawenge!!...sasa nimeelewa
!!

Anyways! Nikupe tu ushauri kama mdogo! Pale sikuhizi kuna sup tatu as a qualification for a discontinuation!!...ukifika punguza wenge soma usije ukaangukia huko!!! Sisi kaka zako tulishapita huko siku nyingi, tukajiita madaktari tulipomaliza MD5
 
Mkuu! Hata hujaanza kusoma anatomy ushajiita doctor!!
Hahahaha Mkuu muache kijana ajifariji huwezi jua labda alikua anaota usiku na mchana aje asome MD...ila muhas yataka moyo..ukiwa mzembe unarudi home mwaka wa 1 tu...akichaguliwa hapo kijana akapige msuli tu yote yanawezekana ukitia nia

0404
 
Hahahaha Mkuu muache kijana ajifariji huwezi jua labda alikua anaota usiku na mchana aje asome MD...ila muhas yataka moyo..ukiwa mzembe unarudi home mwaka wa 1 tu...akichaguliwa hapo kijana akapige msuli tu yote yanawezekana ukitia nia

0404
 
mbona muhas hawatoi names!!au ndo uchakachuaji unaendelea coz hawachelewagi hawa kubana nafasi za watu!
 
mbona muhas hawatoi names!!au ndo uchakachuaji unaendelea coz hawachelewagi hawa kubana nafasi za watu!
Mwaka jana na juzi chuo kililazimishwa kuchukua intake kubwa kuliko carrying capacity ya chuo

Now chuo kimerudi kwenye ubora,wanafunzi wachache,waliofaulu vizuri.. Vumilia tu mkuu first year hadi tarehe 22 mwezi ujao
 
Mwaka jana na juzi chuo kililazimishwa kuchukua intake kubwa kuliko carrying capacity ya chuo

Now chuo kimerudi kwenye ubora,wanafunzi wachache,waliofaulu vizuri.. Vumilia tu mkuu first year hadi tarehe 22 mwezi ujao
Daah,,nashukuru kwa taarifa mkuu
 
Usikalili brooo,,,cyo kila anae itwa doctor anatib,,,wengine hupewa udoctor kwa heshima flan iv,,,,mfano dr jpm,,,,,dr kikwete,,,,,broo ww kinachokusumbua unakalili mno,,,,ila silaum ni takriban 89% ya watanzania wote!
JPM sio dakitari wa heshima, ameisomea na kafanya utafiti akiwa mwanafunzi wa UDSM Chemistry.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…