mimi kama muhumini wa wa dini ya kiislam ntasikitika sana kama hizi kashfa zitaishia magazetini tu, kweli dunia imekwisha na itabidi niyaamini haya na lapa lazima hatakuwa peke yake aende keko au ukonga iwe fundisho kwa wengine.huu ushabiki wa bakwata kwa chama tawala wakijua madudu yalojaa umo ccm hasa kugubikwa na ufisadi wa kutisha ni dhahiri hawa bakwata yote imejaa watu wasokuwa wema, hii bakwata imekuwa wakala wa ccm, kumbuka madudu iloyafanya uko igunga kutupotosha waislam wote wakati imedhihirika yule mama hakuwa mwislam.na walivyofasta katika vyombo vya habari nawataraji leo watujulishe kulikoni ata sadaka na kadhalika zinafisadiwa tena na mkuu mufti simba, ndo ata tunaendelea kuwa duni kumbe hiki chaweza kuwa moja ya chanzo. nasisitiza hatua zichukuliwe mapema vinginevyo bakwata watakuwa wanalinda na kufumbia macho maovu.