pangapatuni muhanzagara
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 269
- 178
Muda umefika kukubali kushikiwa akili na kuacha kufanya Yale tunayoamini
Tufanye kazi kama wanaotuongoza watavyo
Kila kona vijana vijana hii ni kweli
kama ni kweli uzalendo kwanza ni nini?
na uzalendo unaanzzia ukubwani au mtu anakuwa nao kutokana na malezi
mm siamini kampeni za uzalendo inawezza kutubadilisha zaidi ya kuleta haina ya kundi Fulani ambalo linajiona wao ndio wenye nchi na wall ni wasaliti
Tunaanzza kupoteza umoja wa kitaifa kwa kuzalisha makundi
Najua kuna mifano mingi ya ubaguzi na ubabe inaendelea dhambi hii yaweza kututafuna
la sivyo kukubali kushikiwa akili,
WAZO LANGU TUOMBE WAZEE WASTAAFU WASIMAMIE ENEO HILI ILI LISIKAE KISIASA wao wanajua wp walipokosea waje na hiyo misingi ya UZALENDO UADILIFU UAMINIFU UPENDO KUJIAMINI KUJITAMBUA DHAMIRA YA DHATI.
NAOMBA KWA ALIYENIELEWA AJAZIE ILI JAMBO HILI LITUJENGE KWA PAMOJA
Tufanye kazi kama wanaotuongoza watavyo
Kila kona vijana vijana hii ni kweli
kama ni kweli uzalendo kwanza ni nini?
na uzalendo unaanzzia ukubwani au mtu anakuwa nao kutokana na malezi
mm siamini kampeni za uzalendo inawezza kutubadilisha zaidi ya kuleta haina ya kundi Fulani ambalo linajiona wao ndio wenye nchi na wall ni wasaliti
Tunaanzza kupoteza umoja wa kitaifa kwa kuzalisha makundi
Najua kuna mifano mingi ya ubaguzi na ubabe inaendelea dhambi hii yaweza kututafuna
la sivyo kukubali kushikiwa akili,
WAZO LANGU TUOMBE WAZEE WASTAAFU WASIMAMIE ENEO HILI ILI LISIKAE KISIASA wao wanajua wp walipokosea waje na hiyo misingi ya UZALENDO UADILIFU UAMINIFU UPENDO KUJIAMINI KUJITAMBUA DHAMIRA YA DHATI.
NAOMBA KWA ALIYENIELEWA AJAZIE ILI JAMBO HILI LITUJENGE KWA PAMOJA