muccobs or mocu

ukienda icho chuo unafata ku-disco, ata wanaomaliza wanamaliza kwa GPA ndogo sn.
 
kila mwalimu anatafuta sifa kwenye somo lake ata somo la kupata A mwalimu anataka akushike.
 
Anapiga stiki yule, juzi hapa amevuliwa u-coplo
Na amehamishwa
haaaah kumbe kahamishwa alinigonga stiki siku moja nikatamani kusepa alikuwa na mzee gadafi kwenye kwata alikuwepo fadhili na edo hao watu sumu babu kuna jamaa mmoja alikuwa anapenda kusema wakati wa kwata chanua kijiji akikukuta humepiga kk anakugonga stiki ccp noumaaaah

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 

Gadafi amenipiga tifu sana aisee
 
Mkuu em nipe mrejesho kuhusiana na Karo zao wanalipa veep maana c watoto wa wakulima tushazoea mambo yakulipa kidogo kidgo
 
mwaka wa kwanza hadi wa tatu kila mwaka tuition fee ni 1,100,000 kwa hiyo zidisha mara miaka mitatu. halafu kuna gharama za matibabu, uchakavu, serikali yenu ya wanafunzi, TCU na kitambulisho vyote kwa jumla mwaka wa kwanza ni 180,000/= mwaka wa pili ni 150,000/= na mwaka wa tatu ni 150,000/=. Mengine mfano ukitaka kuishi kwenye hostel zao kwa mwaka ni 400,000/=. Chakula, vitabu, mavazi na research na mengineyo kama soda, juice utajitegemea mwenyewe
 
Mi nauliza ulipaji wa installment uupooooo. Maana hali ya uchum sasa n mbovu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…