Mtu wa kwanza kwenye ukoo alitokea wapi?

Mtu wa kwanza kwenye ukoo alitokea wapi?

pwiro

Senior Member
Joined
Nov 3, 2018
Posts
154
Reaction score
103
Wakuu salaam,

Naomba kuuliza, je mtu wa kwanza kwenye ukoo alitokea wapi? Naomba rejea isiwe Kuran au Biblia. Nauliza maana nimeona koo nyingi idadi yao inaongezeka.

Asanteni
 
Umefikiria nn kuuliza hvyo?
Ngoja tusubirie wataalam waje
 
Alitokea kwenye ukoo wa Farao huko misri na wengine ukoo wa kaini!
 
Wakuu salaam,

Naomba kuuliza, je mtu wa kwanza kwenye ukoo alitokea wapi? Naomba rejea isiwe Kuran au Biblia. Nauliza maana nimeona koo nyingi idadi yao inaongezeka.

Asanteni
... kaka mkubwa; hili swali lako ulitakiwa umuulize mwalimu wako wa historia form 2 kwenye topic ya clan formation. Sasa kama siku hiyo somo linafundishwa ulikuwa unaangua zambarau, unatupa majukumu tusiyostahili humu.
 
kwenye ukoo wangu wa kwanza alitokea Yugoslavia, leo hii wote wandengereko wa kivinje....sijui ilikuwajekuwaje..
 
wanasema fuvu la kale kabisa lilipatikana Olduvai pale... inawezekana machalii ndio sample ya binadamu wa kwanza, hapa inabidi kuwe na bible nyingine na ganja ikiwa mboga ya asili..
 
Alimeguka kutoka kwenye ukoo wa awali km Zitto alivyotoka Ukoo wa Chadema akaanzisha ACT akazaa ukoo wa ACT. Kumbuka pia Chadema ilizaliwa na Ccm km ccm ilivyozaliwa na TANU n.k Yaan ukifuata huo mlolongo unaweza kukuta ndg yako huko Colombia.
 
Back
Top Bottom