Mtu mzito , Mshana Jr na wengine ,Niko na swali
Ukienda kwa wanganga,ukapata majibu mawili tofauti 1. umerogwa 2.una majini, asilimia ya majibu yao pia iko tofauti, umerogwa 75%
una majini 25%
yupi au wapi ni sahihi kwa majibu.
Lipi ni lipi??
Sent using
Jamii Forums mobile app