Mtu kuwa na maneno machafu ni sifa?

Mtu kuwa na maneno machafu ni sifa?

Nimeona sehemu moja, huyo mtu, . . . . . . . .sasa hata kusema ulipoona na huyo anayetukana unashindwa? ?!!!

"Name and shame". . . . . .haya hapa hujqmtaja je ulimuambia kuwa tabia yake sio nzuri??!!
 
Subiri uchaguzi uishe watu watapunguza matusi,lakini saahizi watu wamevurugwa na wanasiasa wanafyatua lolote linalokuja.

vituko 4.jpg
 
Matusi kwenye mitandao ya kijamii (sio jf tu) inekua kama ni jadi...

Maadili hakuna kabisa siku hizi
 
Ukiona mtu katukana report abuse apigwe ban
 
Back
Top Bottom