Mtoto mtamu kama huyu "LULU" unampelekaje Segerea??

Nauliza tu mtoto mtam na mbichi kama huyu unamtupaje lupango jaman?? dah, nawaonea donge manyapara wa pale segerea maana wameletewa katoto sealed kabisa, miaka miwili wahuni watakua wanafaidi tuuu... [HASHTAG]#akilizausiku[/HASHTAG]
Kwani wale jamaa huwa wanawatwangaga?
 
Mungu amsaidie katika safari yake hiyo,atajifunza mengi saaaana na angalau nafsi itatulia kwa adhabu ya kosa alilotenda.Alikaa mahabusu sijui muda gani kwa hiyo ana ka experience kidogo ka kule.Eeee Mungu mtizame kwa jicho la huruma mja wako huyu.
 
Kwani wafungwa wanawake wanakaa na askari wa kiume au wanyapara wa kiume?!!!!!
 
Nauliza tu mtoto mtam na mbichi kama huyu unamtupaje lupango jaman?? dah, nawaonea donge manyapara wa pale segerea maana wameletewa katoto sealed kabisa, miaka miwili wahuni watakua wanafaidi tuuu... [HASHTAG]#akilizausiku[/HASHTAG]
Sealed kabisa eeh !!?
 
Nauliza tu mtoto mtam na mbichi kama huyu unamtupaje lupango jaman?? dah, nawaonea donge manyapara wa pale segerea maana wameletewa katoto sealed kabisa, miaka miwili wahuni watakua wanafaidi tuuu... [HASHTAG]#akilizausiku[/HASHTAG]
wanafungwa waliokiuka sheria za nchi haiangaliwi sura wala umbile mtizamo wako wenyewe ni uvunjaji wa wa sheria za nnchi
 
Kwani wafungwa wanawake wanakaa na askari wa kiume au wanyapara wa kiume?!!!!!
Mfungwa Wa kike huwa anapelekwa gereza LA wanawake,ambapo kuanzia askari mpaka mkuu Wa gereza huwa ni wanawake,MF.gereza lilungu mtwara,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…