Traveller X
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 271
- 305
Kwani wale jamaa huwa wanawatwangaga?Nauliza tu mtoto mtam na mbichi kama huyu unamtupaje lupango jaman?? dah, nawaonea donge manyapara wa pale segerea maana wameletewa katoto sealed kabisa, miaka miwili wahuni watakua wanafaidi tuuu... [HASHTAG]#akilizausiku[/HASHTAG]
Sealed kabisa eeh !!?Nauliza tu mtoto mtam na mbichi kama huyu unamtupaje lupango jaman?? dah, nawaonea donge manyapara wa pale segerea maana wameletewa katoto sealed kabisa, miaka miwili wahuni watakua wanafaidi tuuu... [HASHTAG]#akilizausiku[/HASHTAG]
wanafungwa waliokiuka sheria za nchi haiangaliwi sura wala umbile mtizamo wako wenyewe ni uvunjaji wa wa sheria za nnchiNauliza tu mtoto mtam na mbichi kama huyu unamtupaje lupango jaman?? dah, nawaonea donge manyapara wa pale segerea maana wameletewa katoto sealed kabisa, miaka miwili wahuni watakua wanafaidi tuuu... [HASHTAG]#akilizausiku[/HASHTAG]
Mfungwa Wa kike huwa anapelekwa gereza LA wanawake,ambapo kuanzia askari mpaka mkuu Wa gereza huwa ni wanawake,MF.gereza lilungu mtwara,Kwani wafungwa wanawake wanakaa na askari wa kiume au wanyapara wa kiume?!!!!!