Mtoto kulegea miguu

Ushambemenda mkuu,acha hizo mambo mpaka mtoto aache kunyonya au ongea na wabibi wakupe dawa,ukishindwa basi kila baada ya mgegedo mwambie mshikaji ajifute jasho kake kwenyemikono alafu amnyooshe mtoto viungo kwa kutumia hilo jasho lake lililo mikononi
 


hakuwa under 1 insuch..alikua above 1.5mths..ila nilimuonea huruma..na kweli hakutetereka..alikua na afya yake tu..alipozaliwa mwenzk nikawa naibia ibia kimnyonyesha ..after 2 mths nikamwachisha..mambo ya ndoa mtoto wa 2 huwa anakuja fast sana coz mnakuwa hamuelewi sna haya mambo..mm nilijigundua tu nna mimba...wala sio kuchelewa kuzaa..nimezaa nikiwa mbichi kbs
 

mkuu hyo ya kubembenda hebu tupe maelezo hapa..ni kweli au uongo??na hyo ya kupiga mechi za mchangan pia inakuaj
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ΆπŸ˜ΆπŸ˜ΆπŸ˜Ά jaman haya maisha haya..hiv huo si uchawi kbs mkuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..dah mie wanangu ht yale makamba meusi sijawah wavalisha..au kulala na mfupa wa noah mie hapana aiseee maana mm sijalelewa hvo iweje wanangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimechekaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1745][emoji1745]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika Maziwa anayonyonya ni masafi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…