Unakakuta katoto ka umri kama huo kako na kadi ya CCM eti kanaitwa Chipukizi, si ndio vichawi vyenyewe hivi?Habari wakuu kwa mtoto miaka 5 kushuka chini je ni mambo gani yanaweza kuonesha kua anafundishwa uchawi.
Labda nuliweke hivi ; ni mambo gani akiyafanya mtoto yanaonesha kua huyu mtoto anafundishwa uchawi?
Hahaha akitoka hapo atahamia kwema mabeseni,maana ulishaanza kuona mtt labda watu wanapaa nae usikuHa ha ha ha
Anachezea ufagio mkuu anakaa kwenye ule mti wa ufagio alaf anakimbia kama gari
Ukiwa na third eye utaona huwa wanakuwa na alama kwenye paji la uso.....
Lakini kama n mwenzangu na mm, mfatilie kwenye maongez yake,,, kwasabb mtoto anayefundishwa uchawi huwa anapitia changamoto ya kutotunza siri mpk hapo atapokomaa....... Kwahy kile kipindi wakiwa wanamzoesha kumchukua usiku na kumrudisha, yeye atakuwa anatoboa siri kwa wenzake
Mfano: 1. atasema flani huwa ananichukua usiku
2. Jana tulikula nyama
3. Tulicheza ngoma n.k
Basi fanya hv.... Kama wewe ni mkristo anza kumpeleka kwenye maombi, na Kama ni muislam mpeleke kwenye Dua, Kama ni mpagani mpeleke kwa mganga🤝Ni mdogo mkuu na hajajua kuongea vizuri hata kuunganisha maneno yaani amechelewa kuongea
Mtoto kutokuwa muoga yaani haogopi wadudu hasa nyoka..ogopaaaaHabari wakuu kwa mtoto miaka 5 kushuka chini je ni mambo gani yanaweza kuonesha kua anafundishwa uchawi.
Labda nuliweke hivi ; ni mambo gani akiyafanya mtoto yanaonesha kua huyu mtoto anafundishwa uchawi?