Ni ndugu yake na pia ni dada yake mkubwa. Baba yao alimuoa mama yao akiwa na tayari na mtoto wa kike ila alikua mdogo sana hivo baba alikubali kumlea mtoto hivo mtoto katika kukua kwake alijua yule ndo baba mzazi wake. Amemsomesha hadi kamaliza form six.
Kaka mdogo wa huyu dada ambaye kamaliza form 4 yeye alishaambiwa na baba yake kuwa dada hamjazaliwa pamoja ila iwe siri yake kwan dada akijua hilo atataka kumjua baba yake ni nan.
Hivi majuzi kaka akatoroka kaiba gari ya mzee kaenda kujirusha ila dada akastuka dogo kaiba gari so akasema kwa baba. Ikawa bifu kati ya dada na kaka sasa.
Wakaanza kutukanana kwa sms. Sasa kaka kamfungukia dada yake kuwa
"kwanza hapa sio kwenu tunakutunza tu. Gari ya baba angu inakuhusu nn"
Ishu imekua kubwa sasa mtoto anataka kumjua baba yake na anadai alishasikia muda kwa watu wa nje kua yule sio baba yake but hakutilia maanani.
Mbaya zaidi baba yake halisi huyo dada naye ameoa na anafamilia yake ila wakibaatika kuonana mama anamtambulisha kuwa huyu ni mjomba.
Sasa dogo kaja kuniomba ushauri home anaogopa kwenda maana mama anajua yeye ndo kaharibu.
Kaka mdogo wa huyu dada ambaye kamaliza form 4 yeye alishaambiwa na baba yake kuwa dada hamjazaliwa pamoja ila iwe siri yake kwan dada akijua hilo atataka kumjua baba yake ni nan.
Hivi majuzi kaka akatoroka kaiba gari ya mzee kaenda kujirusha ila dada akastuka dogo kaiba gari so akasema kwa baba. Ikawa bifu kati ya dada na kaka sasa.
Wakaanza kutukanana kwa sms. Sasa kaka kamfungukia dada yake kuwa
"kwanza hapa sio kwenu tunakutunza tu. Gari ya baba angu inakuhusu nn"
Ishu imekua kubwa sasa mtoto anataka kumjua baba yake na anadai alishasikia muda kwa watu wa nje kua yule sio baba yake but hakutilia maanani.
Mbaya zaidi baba yake halisi huyo dada naye ameoa na anafamilia yake ila wakibaatika kuonana mama anamtambulisha kuwa huyu ni mjomba.
Sasa dogo kaja kuniomba ushauri home anaogopa kwenda maana mama anajua yeye ndo kaharibu.