Mtoto ana vipele vinavyotoa usaha...

Papa Mopao

JF-Expert Member
Oct 7, 2009
4,153
2,647
Natumaini hamjambo huko mliko!
Sasa kilichonileta hapa ni kuhusu mtoto, ana vipele vidogo vidogo sehemu za shingo kwa nyuma na sehemu za mabegani kidogo, kila akibebwa hasa akiguswa tu shingoni kwa nyuma analia kwa maumivu. Nini dawa yake?
Mtoto ana mwezi mmoja na wiki mbili.
Madaktari naombeni msaada.
 
Pole sana hali ya joto au mzio (alergy) inaweza kuwa sababu lakini ni vema ukampeleka mtoto hospitali daktari akamwona mtoto na akaona aina ya vipele mtoto atapata tiba sahihi mtoto bado ana umri mdogo si vyema kumtibu kwa kubahatisha ...pole sana
 
Back
Top Bottom