Hiyo hairoot Simu lakini inaweza kubadili network toka 2g mpaka 3g au 4g na kuandika imei ni kosa katika taifa hapo inaweza kuandika kwa baadhi ya Simu za mtk na sio zote.Hiyo inaweza kunlock sim kutumia mitandao yote pia inaweza kufunga na kuset baadhi ya matumizi ya Simu.