Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Toeni ujinga hapa
Kama Kuna positive actions however few tutasifia lakini kwa huyu dikteta wenu hakuba nengi ya kujisifu
Je hali ya maisha imekuwa bora kwa MTz wa kawida?
Nini cha kujisifu miezi tisa yangu ashike madaraka?
Achemi utani anaposema atawasaidia wanyonge kama Mwalimu Ni kuwatimua UDOM?
Ni kuwapandishia bei ya sukari?
Ni kumpa wadhifa Mrema?
Ni nini?
Acheni mzaha na maisha ya wa Tz na Mhima wenu
Sasa hayo maswali unamuuliza nani? Sisi wana JF au Mzee Mtei?