mtazamo kuntu juu ya Shomari Kapombe kujiunga AS CANNES

mtazamo kuntu juu ya Shomari Kapombe kujiunga AS CANNES

Jospina

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,421
Reaction score
1,395


Watu wengi hasa Graduates wanavyeti vizuri na elimu zao lakini hawapati kazi!! Moja ya sababu ni kutojua kama njia anayopitia Shomari Kapombe hata wao pengine ingeweza kuwasaidia.

Kama umesoma IFM andika barua nyingi tu za maombi ya kujitolea CRDB,CBA, na sehemu nyingine bila malipo yoyote.Utaitwa tu,nenda kafanye kazi bure na baadae nenda sehemu nyingine kafanye bure ila kwa kiwango na kujituma kwa hali ya juu.

Trust me,siku ukiomba kazi NBC na kuambanisha CV yako kwamba umewahi pitia CBA na CRDB n.k uwezekano ni mkubwa sana wa wewe kuajiriwa.

Twende kwenye point,Kapombe ni mchezaji wa Simba Club kubwa na pia ni mchezaji kwa timu ya Taifa.kwenda timu ya daraja la 4,huenda wengi mkabeza ila kwangu mimi naona kama amezidi kulikaribia soko.

Pale alipo yuko sokoni,yuko kwenye matangazo ni rahisi sana kutoka Daraja la 4 kwenda la 2 na hata ligi kuu kabisa kuliko kubaki Bongo ambako msimu ukiisha,wachezaji wanakwenda kwenye "ndondo"

kwanza wachezaji wa Bongo hawana matunzo ya professional Footballers na ndiyo maana hawakawii kuchuja.Kapombe kama atajituma na kuelewa kwamba As Cannes ni sehemu ya mpito kwake,kuna siku watu watamuelewa tu.

Tatizo lenu mmekalia majungu na kuombeana mabaya ili ashindwe mje mumcheke na vimagazeti vyenu na Blog uchwara.Ndiyo maana hata timu yetu ya Taifa inafungwa ni kwa sababu tunaamini tuko daraja la kwanza,kumbe sisi tuko la nne.

Lazima tujitambue uwezo wetu
 
Kweli mkuu umeongea bonge la point, hata salim kikeke alijitolea ctn kutangaza bure ili apate platform ya kuwin.
 
Miaka 21 si mbaya akaanza harakati za kujitanua huyu mtu ananikumbusha harakati za demba ba mpaka alipofikia sasa...akaze moyo na afanye kazi kwa juhudi kubwa maana kule kuna ushindani sana juhudi binafsi zinahitajika...

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Umeongea kweli kapombe ametoa maamuzi magumu yatakayo msaidia badae. mimi wasiwasi wangu kama simba watakubali kumuachia.
 
Bora akae tu huko,wanageria,wakameruni,unawakuta wako mpk huko ligi za Vietnam au indonesia wanatafuta maisha, kwa hiyo siyo mbaya kwa umri wake kusikilizia hapo kwanza.
 
Bora akae tu huko,wanageria,wakameruni,unawakuta wako mpk huko ligi za Vietnam au indonesia wanatafuta maisha, kwa hiyo siyo mbaya kwa umri wake kusikilizia hapo kwanza.

ni kweli kabisa Hao waafrika magharibi tunaowaona wanawika wanakuwa wamepitia mengi sana mpaka kufikia hapo walipo, mpira ni mchezo wa uvumilivu na kupambana! Kapombe yupo sehemu nzuri sana hata profile ya AS CANNES ni nzuri itambeba kupata timu kubwa baadae
 
Kweli mkuu umeongea bonge la point, hata salim kikeke alijitolea ctn kutangaza bure ili apate platform ya kuwin.

Exactly inabidi wakati mwingine watu wakubali changamoto kama hizo, Ingawa Kapombe akiwa pale atakuwa akilipwa pesa nzuri ukiconvert kwa pesa zetu za madafu, ila cha msingi asiangalie sana pesa kwasasa inabidi ajitume sana uwanjani ili aweze kuvutia timu kubwa zaidi.
 
Naomba niwaambie kwamba, jana jioni nimepata mawasiliano kutoka Ubelgiji timu ya 2nd division (Belgacom) wakiniomba msamaha hawajaweza kupata nafasi ya kumjaribu Kapombe sababu wamejaza squad yao. Nikawajibu na kuwapatia link akiwa amesign AS Cannes. Majibu niliyopata ni kwamba wanampa hongera sana na watamfuatilia na wanaomba niwa-update kwani yuko katika timu kubwa na inaheshimika.
Ingekuwa sio sababu za privacy, ningewawekea mawasiliano. Jamani, ombeni uzima wa afya yake. Kijana atatoka tu!! One season, he is gone. Within 3 seasons anacheza Champions League!! Take my word.
 
Naomba niwaambie kwamba, jana jioni nimepata mawasiliano kutoka Ubelgiji timu ya 2nd division (Belgacom) wakiniomba msamaha hawajaweza kupata nafasi ya kumjaribu Kapombe sababu wamejaza squad yao. Nikawajibu na kuwapatia link akiwa amesign AS Cannes. Majibu niliyopata ni kwamba wanampa hongera sana na watamfuatilia na wanaomba niwa-update kwani yuko katika timu kubwa na inaheshimika.
Ingekuwa sio sababu za privacy, ningewawekea mawasiliano. Jamani, ombeni uzima wa afya yake. Kijana atatoka tu!! One season, he is gone. Within 3 seasons anacheza Champions League!! Take my word.
Be blessed mkuu, sasa jitahidi kufanya scouting ya talents za kutosha, tunataka tuwe hata n wachezaji zaidi ya mia huko nje wakicheza madaraja mbalimbali najua ipo siku watatusaidia sana
 
Kila la Kheri Shomari Kapombe. Kama Nakuona unachezea Olympic Lyon Glascow Rangers Galatasary Ajax Amsterdam PSV Endhoven Everton Frankfurt Wolfsburg au Atletico Madrid kwenye Champions League.
 
Umeanza vizuri lakini hitimisho lako lipo negative as if ulikuwa unamjibu mtu ! Ni wazi daraja la nne kule (angalia FIFA ranking) inaweza kuwa bora kuliko ligu kuu ya kwetu ushenzini. Cha msingi sio players kujitunza ki profeshno bali mfumo mzima wa soka lazima ubadilike kuanzia juu hadi chini. Cha msingi duniani kote sio kutegemea jitu lina miaka 35 ndo linaanza kutafuta timu, mpira sasa ni sayansi na vipaji vinatengenezwa tangu utotoni. kwa umri wake yeye anaweza kujengwa na kupikwa zaidi na hii inawezekana kwa sababu hawa wameshaona kitu fulani kwake. Nakumbuka zamani tukiwa umiseta nilikuwa namshauri Renatus Njohole hivi hivi na alipomaliza mgulani alitusikiliza na ona maisha yake sasa..! Lakini mtu kama Ngassa yeye anaona kubeba "milori mikubwa" ni ufahari na lakini hayo hayajengi na umri ndo hivyo na ndiyo maaana hata kule Seatle alipigwa chini...!

Wafadhili wetu nao ndo hivyo wanajitokeza ili kubebesha players sembe na hawana nia halisi ya kusaidia kuwaandaa na kuwajenga players kifizikia na kiakili pia. Ona Amri Kiemba uwezo kafaulu lakini wakiangalia umri wanakwambia imechelewa sana labda usajili kwa bei za bajaji..

Tuhimize timu kubwa ziwekeze sana ktk yosso, kuanzia timu za u 10, 12, 15 na 17 na hapo ndiyo tutaweza kupiga hatua. Pia taifa ziajiri makocha wenye uwezo na majina na sio hawa wanaoletwa kwa msaada wa DANIDA. Babu wa Simba alionyesha jinsi gani unaweza jenga kisaikolojia na ibua yosso na wataweza tu siku moja. lengo liwe kutengeneza timu ya muda mrefu na sio kusajili vibabu kila msimu au kukimbilia wakimbizi wa kagame 🙂



Watu wengi hasa Graduates wanavyeti vizuri na elimu zao lakini hawapati kazi!! Moja ya sababu ni kutojua kama njia anayopitia Shomari Kapombe hata wao pengine ingeweza kuwasaidia.

Kama umesoma IFM andika barua nyingi tu za maombi ya kujitolea CRDB,CBA, na sehemu nyingine bila malipo yoyote.Utaitwa tu,nenda kafanye kazi bure na baadae nenda sehemu nyingine kafanye bure ila kwa kiwango na kujituma kwa hali ya juu.

Trust me,siku ukiomba kazi NBC na kuambanisha CV yako kwamba umewahi pitia CBA na CRDB n.k uwezekano ni mkubwa sana wa wewe kuajiriwa.

Twende kwenye point,Kapombe ni mchezaji wa Simba Club kubwa na pia ni mchezaji kwa timu ya Taifa.kwenda timu ya daraja la 4,huenda wengi mkabeza ila kwangu mimi naona kama amezidi kulikaribia soko.

Pale alipo yuko sokoni,yuko kwenye matangazo ni rahisi sana kutoka Daraja la 4 kwenda la 2 na hata ligi kuu kabisa kuliko kubaki Bongo ambako msimu ukiisha,wachezaji wanakwenda kwenye "ndondo"

kwanza wachezaji wa Bongo hawana matunzo ya professional Footballers na ndiyo maana hawakawii kuchuja.Kapombe kama atajituma na kuelewa kwamba As Cannes ni sehemu ya mpito kwake,kuna siku watu watamuelewa tu.

Tatizo lenu mmekalia majungu na kuombeana mabaya ili ashindwe mje mumcheke na vimagazeti vyenu na Blog uchwara.Ndiyo maana hata timu yetu ya Taifa inafungwa ni kwa sababu tunaamini tuko daraja la kwanza,kumbe sisi tuko la nne.

Lazima tujitambue uwezo wetu
 
Umeanza vizuri lakini hitimisho lako lipo negative as if ulikuwa unamjibu mtu ! Ni wazi daraja la nne kule (angalia FIFA ranking) inaweza kuwa bora kuliko ligu kuu ya kwetu ushenzini. Cha msingi sio players kujitunza ki profeshno bali mfumo mzima wa soka lazima ubadilike kuanzia juu hadi chini. Cha msingi duniani kote sio kutegemea jitu lina miaka 35 ndo linaanza kutafuta timu, mpira sasa ni sayansi na vipaji vinatengenezwa tangu utotoni. kwa umri wake yeye anaweza kujengwa na kupikwa zaidi na hii inawezekana kwa sababu hawa wameshaona kitu fulani kwake. Nakumbuka zamani tukiwa umiseta nilikuwa namshauri Renatus Njohole hivi hivi na alipomaliza mgulani alitusikiliza na ona maisha yake sasa..! Lakini mtu kama Ngassa yeye anaona kubeba "milori mikubwa" ni ufahari na lakini hayo hayajengi na umri ndo hivyo na ndiyo maaana hata kule Seatle alipigwa chini...!

Wafadhili wetu nao ndo hivyo wanajitokeza ili kubebesha players sembe na hawana nia halisi ya kusaidia kuwaandaa na kuwajenga players kifizikia na kiakili pia. Ona Amri Kiemba uwezo kafaulu lakini wakiangalia umri wanakwambia imechelewa sana labda usajili kwa bei za bajaji..

Tuhimize timu kubwa ziwekeze sana ktk yosso, kuanzia timu za u 10, 12, 15 na 17 na hapo ndiyo tutaweza kupiga hatua. Pia taifa ziajiri makocha wenye uwezo na majina na sio hawa wanaoletwa kwa msaada wa DANIDA. Babu wa Simba alionyesha jinsi gani unaweza jenga kisaikolojia na ibua yosso na wataweza tu siku moja. lengo liwe kutengeneza timu ya muda mrefu na sio kusajili vibabu kila msimu au kukimbilia wakimbizi wa kagame 🙂
okey mkuu nimekuelewa, umeelezea vizuri sana, haya ndo mambo tunahitaji Tanzania
 
Yec bro kadito u doing a good work to our youth Kapombe.. But nakuomba uwafanyie mpango vijana wengine 5 kama kapombe... i trust one day tz itakuwa next level pamoja bro and kila lakher..
 


Watu wengi hasa Graduates wanavyeti vizuri na elimu zao lakini hawapati kazi!! Moja ya sababu ni kutojua kama njia anayopitia Shomari Kapombe hata wao pengine ingeweza kuwasaidia.

Kama umesoma IFM andika barua nyingi tu za maombi ya kujitolea CRDB,CBA, na sehemu nyingine bila malipo yoyote.Utaitwa tu,nenda kafanye kazi bure na baadae nenda sehemu nyingine kafanye bure ila kwa kiwango na kujituma kwa hali ya juu.

Trust me,siku ukiomba kazi NBC na kuambanisha CV yako kwamba umewahi pitia CBA na CRDB n.k uwezekano ni mkubwa sana wa wewe kuajiriwa.

Twende kwenye point,Kapombe ni mchezaji wa Simba Club kubwa na pia ni mchezaji kwa timu ya Taifa.kwenda timu ya daraja la 4,huenda wengi mkabeza ila kwangu mimi naona kama amezidi kulikaribia soko.

Pale alipo yuko sokoni,yuko kwenye matangazo ni rahisi sana kutoka Daraja la 4 kwenda la 2 na hata ligi kuu kabisa kuliko kubaki Bongo ambako msimu ukiisha,wachezaji wanakwenda kwenye "ndondo"

kwanza wachezaji wa Bongo hawana matunzo ya professional Footballers na ndiyo maana hawakawii kuchuja.Kapombe kama atajituma na kuelewa kwamba As Cannes ni sehemu ya mpito kwake,kuna siku watu watamuelewa tu.

Tatizo lenu mmekalia majungu na kuombeana mabaya ili ashindwe mje mumcheke na vimagazeti vyenu na Blog uchwara.Ndiyo maana hata timu yetu ya Taifa inafungwa ni kwa sababu tunaamini tuko daraja la kwanza,kumbe sisi tuko la nne.

Lazima tujitambue uwezo wetu
Na kama amesoma TEKU??
 
Yec bro kadito u doing a good work to our youth Kapombe.. But nakuomba uwafanyie mpango vijana wengine 5 kama kapombe... i trust one day tz itakuwa next level pamoja bro and kila lakher..

ni kweli mheshimiwa, kama Kapombe anaweza kucheza daraja la nne France tena Cannes basi Ngassa katika umri huo angeweza, Chuji angeweza, Babbi angeweza, Boban angeweza na wengine wengi. napata hisia Kapombe yupo karibu kutoboa kuliko Samata na Ulimwengu.
 
Back
Top Bottom