Mtatiro BIG UP!!

Mtatiro BIG UP!!

Focus120

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2014
Posts
1,092
Reaction score
798
Mgombea ubunge jimbo La Segera J. Mtatiro Leo kaanza kampeni Mitaa ya Vingunguti.

Nimevutiwa sana na namna unavyojenga hoja. All in All nakutakia kila la heri.
 
Mgombea ubunge jimbo La Segera J. Mtatiro Leo kaanza kampeni Mitaa ya Vingunguti.

Nimevutiwa sana na namna unavyojenga hoja. All in All nakutakia kila la heri.

Mtatiro yuko vizuri kiongozi, kale kabinti kaache ujinga kabisa, hakawezi kumfikia Mtatiro kwenye ujengaji hoja! Mtatiro SEGEREA - Ushindi SAA 2 asubuhi!!
 
Mtatiro yuko vizuri kiongozi, kale kabinti kaache ujinga kabisa, hakawezi kumfikia Mtatiro kwenye ujengaji hoja! Mtatiro SEGEREA - Ushindi SAA 2 asubuhi!!

Yule atapisha tu...
Evidence ni uwepo wa Viongozi wengine wakubwa wa Ukawa kwenye mkutano.
 
Ukawa lazima wafanye maamuzi kwa wakati kuhusu jimbo la segerea, sisi wananchi wa jimbo la segerea ambao sio wanachama wa vyama vya siasa tungependa mwakilishi wa ukawa awe Julius Mtatiro. Tunaomba sana, yule binti wa chadema awekwe kando.
 
Ukawa lazima wafanye maamuzi kwa wakati kuhusu jimbo la segerea, sisi wananchi wa jimbo la segerea ambao sio wanachama wa vyama vya siasa tungependa mwakilishi wa ukawa awe Julius Mtatiro. Tunaomba sana, yule binti wa chadema awekwe kando.

Hili pia liligusiwa kiongozi, alikuwepo mratibu wa chadema kanda ya Pwani kwenye mkutano akaahidi kulipatia ufumbuzi mapema iwezekanavyo. Hivyo tuvute Subira.
 

Attachments

  • 1441557939619.jpg
    1441557939619.jpg
    54 KB · Views: 281
Hahhaha ukiona post inakuja kizembe hv bila picha ujue tu hali sio nzuri
 
Back
Top Bottom