Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,879
Dj Khalled Sound
Another one
Another one
Naona hata Degree yake ya kwanza hajaipata bongo!Huyu yupo huko kitambo, si mtz huyu, vilvile huenda waliishi vizuri tangu miaka hiyoooo!! Kina Msuya wapo kwenye sisitimu kitambo.
Naona hata Degree yake ya kwanza hajaipata bongo!Wenye pesa hawana longolongo kwenye elimu za watoto wao ndio maana wakigraduate wanapiga box kwenye taasisi za maana.Kajamba nani kufanya kazi halmashauri na salary ya 700,000 hapo bado makato.
Nadhan
wapo wengi tu wakina migiro, mahiga nk.Toa mfano nani aliyeharibiwa ubongo pale tu aliporudi bongo....
Asante boss kwa kung'amua hilo. Pengine ungeongezea na magari mazuri ya UN na VIP treatment wakisafiri (airport na 5-7 star hotel), mishahara minono kwa USD lakini binafsi sionag la maana UN walichofanya.
Dah... Ungesema Elimu bora...Ingependeza sana....Naona hata Degree yake ya kwanza hajaipata bongo!
ana background ya Familia bora
Inifae mm ili iweje wakati profession tofautiIngekufaa wewe basi....
Ova
utazd kupata wivu na kaskazn hadi ufe tumeendelea tang zaman idara zoteDah....lakini kuna mwingine juzi tu hapa kajioverdose gesti ......
utazd kupata wivu na kaskazn hadi ufe tumeendelea tang zaman idara zoteDah....lakini kuna mwingine juzi tu hapa kajioverdose gesti ......
yaap vinadhan vinaweza idumaza kaskaxn watasubiri sana tangu hata kabla ya Uhuru kaskaxn IPO juu idara zoteMsuya? Kuna kikundi kinadhani maji yalijikusanya ziwa victoria kwa bahati mbaya.
msuya n ukoo mpanaAna uhusiano na Mzee Cleopa?
Hahah atunaposema Kilimanjaro na kaskaxn kiujumla imeendelea hatutanii pmj na hujuma zoote lkn bado tunachanja mbuga hongera mtani wangu msuya
britanicca
chuma cha mjerumani
NIYOMBARE
Menyainganyi
Mamaya
stroke
Kilimanjaro ni chimbuko LA elimuNaona hata Degree yake ya kwanza hajaipata bongo!
ana background ya Familia bora
kuna watu wanadhan wanaweza kurudsha maendeleo ya wat wa kaskzn hawawz hata kidg maana tangu hata kabla ya Uhuru wapo vizr idara zotMulemule
hoyee hongera mtani ama kweli Kilimanjaro n chimbuko LA wasomi kila idara huwakosiHongera sana,
Nimefurahi,
Wapare hoyeee!!!!
Mapovu ruksa
hoyee hongera mtani ama kweli Kilimanjaro n chimbuko LA wasomi kila idara huwakosiHongera sana,
Nimefurahi,
Wapare hoyeee!!!!
Mapovu ruksa
acha wivu we mzaramoDah... Ungesema Elimu bora...Ingependeza sana....