GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,881
Nimemsikia leo akisema hiyo idadi tena bila hata ya wasiwasi wowote katika ' Amka na BBC ' na nikashtuka mno na kusikitika sana tu. Nadhani BBC hasa idhaa ya Kiswahili kuna ' tatizo ' la Kiuweledi mahala ambalo kama msipokuwa makini nalo basi kuna Siku litakuja Kuwagharimu.
Badilikeni tafadhali hamjachelewa.
Nawasilisha.
Badilikeni tafadhali hamjachelewa.
Nawasilisha.