Walichokifanya hawa watu jaman

Nimeweka salio la 500 nijiunge MB wakasema siwezi unganishwa, kuuliza salio naambiwa una 481 Tsh. Hapo sijampigia mtu, sijawasha data. Sasa hiyo kazi ya kusafiri maili mia kufuata vocha zao niitoe wapi
Nimejaribu Bufee, eti MB za 480 Tsh ni 175, halafu MB zenyewe ni zile za kubabaisha ambazo ukiamka kesho asubuhi unakuta zishakwisha hata kama hukutumia hata kidogo

Kwa sasa, ile bufee tuliokuwa tunapata MB 400 kwa 500Tsh, kwa sasa ni 200MB. Halafu kasi yake ni 2G, Picha linaanza inatumia dk nzima kufungua app ya JamiiForums. Kwa kuwa wameanza kututoza tozo hadi kwenye mtandao wao, kuanzia kesho nikitumia TTCL, naombwa nilimwe ban


Mtandao wa ovyo sana TTCL Customer Care ,bora nibaki na mtandao mmoja tu wa vodacom
Mods, acheni huu uzi uelee elee ili wayaone madhaifu yangu kwa urahisi, msiuunge kuleView attachment 2355964


Nimeweka salio la 500 nijiunge MB wakasema siwezi unganishwa, kuuliza salio naambiwa una 481 Tsh. Hapo sijampigia mtu, sijawasha data. Sasa hiyo kazi ya kusafiri maili mia kufuata vocha zao niitoe wapi
Nimejaribu Bufee, eti MB za 480 Tsh ni 175, halafu MB zenyewe ni zile za kubabaisha ambazo ukiamka kesho asubuhi unakuta zishakwisha hata kama hukutumia hata kidogo


Kwa sasa, ile bufee tuliokuwa tunapata MB 400 kwa 500Tsh, kwa sasa ni 200MB. Halafu kasi yake ni 2G, Picha linaanza inatumia dk nzima kufungua app ya JamiiForums. Kwa kuwa wameanza kututoza tozo hadi kwenye mtandao wao, kuanzia kesho nikitumia TTCL, naombwa nilimwe ban



Mtandao wa ovyo sana TTCL Customer Care ,bora nibaki na mtandao mmoja tu wa vodacom
Mods, acheni huu uzi uelee elee ili wayaone madhaifu yangu kwa urahisi, msiuunge kuleView attachment 2355964
