Mtandao wa kijeshi Marekani wadukuliwa

Mtandao wa kijeshi Marekani wadukuliwa

RUCCI

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
1,702
Reaction score
1,716
Jeshi la Marekani lilisimamisha kwa muda mtandao wake baada ya kisa cha kuingiliwa kimitandao.

Jeshi la Syria la Electroniki - linalomuunga mkono Rais Bashar al-Assad - limesema katika mtandao wake wa kijamii wa Twitter, kuwa ndilo lililotekeleza shambulizi hilo la kimitandao.

Lakini habari za hivi punde zasema kuwa mtandao huo wa jeshi la Marekani umerejeshwa.



attachment.php

A hacker group backing the Syrian government claimed responsibility for hacking the official website of the US Army, just hours after President Obama called for new cybersecurity laws at the G-7 summit in Germany.

Army.mil was still down Monday afternoon. Loading a cached version of the site resulted in pop-ups proclaiming the site was "Hacked by the Syrian Electronic Army," and messages such as "Stop training the terrorists!" and "Your government is corrupt don't listen to it!" reported the National Journal.

Hackers calling themselves the Syrian Electronic Army swiftly took responsibility for the attack, posting images on their Twitter account.

US Army officials said the website was taken down temporarily, after its home page was compromised. "The Army took appropriate preventative measure to ensure there was no breach of Army data," Army spokesman Brigadier General Malcolm Frost said in a statement.

Monday's attack may have been the first breach of a website directly operated by the US military. In January, a group calling itself the "Cyber Caliphate" hijacked the Twitter and YouTube accounts of the US Central Command (CENTCOM), posting links to documents they claimed to be confidential files pilfered from US military computers.

CENTCOM said its operational military networks "were not compromised and there was no operational impact," and denied any leaks of classified information, adding that it considered the hack "purely as a case of cybervandalism."

Last week, the US Office of Personnel Management (OPM) admitted to a major cyber-attack in April, compromising the personal information of four million federal employees. While US officials blamed China for the hack, Beijing dismissed the claims as "not responsible" and "counterproductive."

Addressing the OPM hack at the G-7 summit in Germany, US President Barack Obama urged Congress to move forward on cybersecurity laws that the White House has been pushing for.

"Both state and non-state actors are sending everything they've got at trying to breach these systems," Obama said, adding that state actors were "probing for intelligence or, in some cases, trying to bring down systems in pursuit of their various foreign policy objectives."

"In either case, we're going to have to be much more aggressive, much more attentive than we have been," Obama added.

US agents used a computer virus called Stuxnet to tamper with the nuclear programs in Iran during 2009 and 2010. Another Stuxnet attack was launched against North Korea, US officials recently admitted, but without success.



Source: RT
 

Attachments

  • 17.si.jpg
    17.si.jpg
    13.2 KB · Views: 1,463
Mkuu hawa watu ni waongo sana na wanavyoisingizia nchi kama China Hawana hata evidence,they are very irresponsible just like China said.
Wacha nikuambie jaribu kufuatilia kila law ambayo inataka kupitishwa na U.S. kama ambavyo sasa hivi OBAMA anavyotaka kusign cyber law mara nyingi tukio la kihalifu linalohusu hiyo sheria lazima litokee so as to justify the law and get blessings from US congress.
Always propaganda and bluffing.
 
Jeshi la Marekani lilisimamisha kwa muda mtandao wake baada ya kisa cha kuingiliwa kimitandao. Jeshi la Syria la Electroniki - linalomuunga mkono Rais Bashar al-Assad - limesema katika mtandao wake wa kijamii wa Twitter, kuwa ndilo lililotekeleza shambulizi hilo la kimitandao. Lakini habari za hivi punde zasema kuwa mtandao huo wa jeshi la Marekani umerejeshwa.
 
Mkuu hawa watu ni waongo sana na wanavyoisingizia nchi kama China Hawana hata evidence,they are very irresponsible just like China said.
Wacha nikuambie jaribu kufuatilia kila law ambayo inataka kupitishwa na U.S. kama ambavyo sasa hivi OBAMA anavyotaka kusign cyber law mara nyingi tukio la kihalifu linalohusu hiyo sheria lazima litokee so as to justify the law and get blessings from US congress.
Always propaganda and bluffing.

wana mipAngo mirefu mno. angalia laws zilizokuwa signed baada ya September 11th.wamebana haki kwa raia na kuwapa jeshi nguvu zaidi.niliwahi soma kitabu kinaitwa the world terrorists.. kimeandikwa na mmarekani. though kilikuwa biased still kiliongea wazi juu ya mpango wa kumuandaa osama...
 
hivi wanatambuaje kuwa WAMEDUKULIWA kama wao si WADUKUAJI?
 
hivi wanatambuaje kuwa WAMEDUKULIWA kama wao si WADUKUAJI?

Kuna alert kwenye software zao zinaonyesha kwamba unrecognise intruder.....
Ndo nao wanazima server zao. Lakini nasikia russia ndo wazuri sana kwenye ku hack, na kama syria wamefanya hivyo ni under russian supervission
 
inamaana huu mwaka ni wa dukuana nasika kila mtu analalamika amedukuliwa
 
Vita hii hatujui itaisha lini but kiukweli mataifa makubwa yanapambana sana hasa kutaka kuimarisha usalama na kutawala uchumi. Bado tutasikia na kushuhudia mengi.
 
Back
Top Bottom