Acha ukabila wewe, Una divert point yangu na kuleta excuse ya ukabila. Nahisi na wewe Ni lili kabila primitive lisilipenda watu WA kaskazini, au kabila la kule pwani ya kusini ambao wananyang'anywa mali zao lakini kura wanampa ccm.
Elimu, elimu, elimu, elimu bora elekezi ndo itatitoa hapa.
Eti mnajivunia barabara kajenga JPM, shame is supposed to be on you who has never been anywhere out of this country to see how the good roads with their infrastructures are constructed.
Kaeni huko msubiri makombo - hata JPM atatupiwa makombo kwa sababu mirija mikubwa haijui na hata akiijua hawezi kufanya lolote kwani ndo walomweka kwenye urais kiwizi.
Lowassa Tu ndo angeweza kuiondoa Tanzania ilipo kwa sababu anachukia umaskini kwa kila mtu Hawa wengine wanapenda kila mtu awe maskini ili aendelee kuwa ombaomba