Huwez fanya business yoyote ukiwa mbali na ikaenda vzur, otherwise utapata khasara, tafta mtu mwaminifu mwenye kuweza kusimamia wkat bado Upo chuo, Au usubiri mpka utakapomaliza chuo,
Huwez fanya business yoyote ukiwa mbali na ikaenda vzur, otherwise utapata khasara, tafta mtu mwaminifu mwenye kuweza kusimamia wkat bado Upo chuo, Au usubiri mpka utakapomaliza chuo,
Habar wakuu, nna mtaji wa mil. 3 nataka fanya biashara nitakayoiendesha nikiwa mbali nayo, coz nko chuo kwa sasa so ntakuwa na muda mchache wa kuisimamia, ni biashara gan itakayoendan na condition hizo wadau, mchango wenu plz.