Mtaalamu wa Graphic Designer anahitajika

Mtaalamu wa Graphic Designer anahitajika

kingjohn255

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
403
Reaction score
520
Rejea mada tajwa hapo juu, anahitajika kijana mzoefu na mjuzi wa Graphic Desgner ambae ni mzoefu wa graphic na mtengeneza maudhui ya mitandaoni

kama unahisi una uwezo na sifa basi tuma CV yako kupitia email
joexgroup@yahoo.com

Mwisho wa mombi ni May 31/2025 2359

NB: Kijana awe na makazi ya kudumu Dar Es Salaam au mkoa jirani na Dar
 
Back
Top Bottom