Barabara nyingi za lami za mjini wanasahau kuchora ule mstari wa katikati, ni hatari sana hasa kwa miji yenye population kubwa ya magari. Mamlaka ikumbuke jambo hili ni muhimu sana kwa watumiaji wa barabara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.