Msisikitike, kuna njia ingine


Mkuu' muswaada unasema kama kura za hapa zitashinda' basi katiba iliyopo itaendelea.
 
Mkuu' muswaada unasema kama kura za hapa zitashinda' basi katiba iliyopo itaendelea.

Afadhali umewaweka sawa, CCM wanataka kujua popo ni mnyama au ndege??? jibu peleka popote ni sawa.Tukipiga kura ya No maana yake HATUTAKI KATIBA MPYA TUENDELEE NA YA ZAMANI in maana hadi baada ya miaka 50.Tukipiga YES maana yake KATIBA YA KIKWETE itakubalika.hapo ni kulia na kusaga meno.KAZI KWETU
 
Mkuu uporoto kuna kitu nataka ujue,tukikosea step tukakubali kura ipigwe tumekwisha lazima watashinda,hakuna mtu mwenye uwezo wa kushindanna na ccm tunapoongea mambo ya kura,ni wazoefu wa kuchakachua,hilo siafiki hata kidogo
mimi mwenyewe sikubali kura ipigwe na kama ikipigwa isimamiwe na nani? Mbona imezoeleka kila siku tunachagua nyekundu tunaletewa kijani
 
nimeipenda hii, saluti mkuu!
 
Mimi namwamini sana Dr.Slaa na uongozi wake, naamini hawatakubali lakini kama watakubali tukae kimya na kukubali tuende kwenye kura mimi nitakuwa wa kwanza kuwa mkimbizi na kuomba hifadhi Rwanda kwa kagame, najua watanipokea kwani wao tuliwahi kuwapokea kama wakimbizi.
 
Mkuu uporoto kuna kitu nataka ujue,tukikosea step tukakubali kura ipigwe tumekwisha lazima watashinda,hakuna mtu mwenye uwezo wa kushindanna na ccm tunapoongea mambo ya kura,ni wazoefu wa kuchakachua,hilo siafiki hata kidogo

kwani hawatachakachua?
 
REVOLUTIONALISTS NEVER GIVE UP NO MATTER WHAT.Movement ya kuipinga hiyo rasimu ili isipite ni muhimu iwekewe mikakati ya kutosha kuanzia sasa.ALUTA CONTINUA.
 
dawa ni maandamano bila hivyo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu
 
Ni upuuzi kutufanya sisi wachache ni wapuuzi wakati uwingi wenu unaimarisha uppuzi pia,nani mnaendanganya kama mtoto,nani mwenye uelewa japo mdogo yuko tayari kwenda kwenye hatua ya upiga kura wakati upigaji wa kura utasimamiwa na NEC ya ikulu.hivi mnadhani tumerogwa au tumechanganyikiwa wengine tunaosema wazi ya kwamba huu ni wakati muafaka wa kuingia barabarani kudai katiba ya watanzania?leo mmepitisha mswada ili baadae mtoe katiba ya CCM mlete katiba ya IKULU.No way.Tutaidai haki hii mpaka kwenye vibanda vyenu,msinajifanya viziwi na vipofu pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…