Unajengea wapi?msingi wa mawe ni recommended lakini kama hayapatikani kirahisi mf Dar unaweza kutumia tofali lakini lazima resho ya tofali na cement ziwe kali. Tofali ukitumia tofali 35 kwa mfuko sio mbaya
Moderator nimewashauri kuanzisha jukwaa la ujenzi mnaona ntafaidi