Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Imeshakuwa fashion siku hizi hao wasichana wakishajiona wana vimakalio vimebinuka basi kitaani hatupumui.
Kutwa kujipitisha pitisha vijiweni masela tuwaone yaani washajiona wao ndio kila kitu. Ukiwakuta sasa huko kwenye social network kila picha lazima abinue vimatako vyake juu utafikiri kuna kitu anataka kutungua kwa kutumia makalio.
Msichana ukijiona una shepu yako mashalah jistiri na ujue wewe ni mke wa mtu mtarajiwa siyo kila siku kushinda kununua madera ya kuchezea visingeli kwa jirani. Na sisi wanaume tunasema hivi nyie mnaojifanya mna vimakalio vya haja vya kuringishia ni wa hamu tu tunapiga tunasepa kuoa tunaenda kuoa wasichana wenye shepu ya kawaida. Nyie mkibaatika sana mnapewa vitu na kuongeza idadi ya single mother kitaani.
Message Sent..!
Kutwa kujipitisha pitisha vijiweni masela tuwaone yaani washajiona wao ndio kila kitu. Ukiwakuta sasa huko kwenye social network kila picha lazima abinue vimatako vyake juu utafikiri kuna kitu anataka kutungua kwa kutumia makalio.
Msichana ukijiona una shepu yako mashalah jistiri na ujue wewe ni mke wa mtu mtarajiwa siyo kila siku kushinda kununua madera ya kuchezea visingeli kwa jirani. Na sisi wanaume tunasema hivi nyie mnaojifanya mna vimakalio vya haja vya kuringishia ni wa hamu tu tunapiga tunasepa kuoa tunaenda kuoa wasichana wenye shepu ya kawaida. Nyie mkibaatika sana mnapewa vitu na kuongeza idadi ya single mother kitaani.
Message Sent..!