Heisenberg blue meth
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,310
- 1,630
Huu wimbo mpya wa Alikiba jinsi anavyopita kwenye beat ya moco na lyrics zake, inakua kama kaniimbia mimi, mpaka nimeshawishika kumtafuta ex girl wangu ambae alibipu kuniacha kwakua anajua siwezi kumuacha baada ya kufanya hivyo mara kadhaa, sasa mimi nikafanya kweli nikampiga chini (kitu ambacho nadhani hakuamini maana alishajiaminisha sina uwezo huo)
Nimekua nikipotezea text zake kwakua simtak tena, lakini hilo goma la Ali K naona linanishawishi nimtafute, nimeona niifute tuu na nyimbo yenyewe maana nimeona inanishawishi nimtafute mtu nisiyemtaka.
Huyu jamaa akiamua kuimba anaimba sana.
Nimekua nikipotezea text zake kwakua simtak tena, lakini hilo goma la Ali K naona linanishawishi nimtafute, nimeona niifute tuu na nyimbo yenyewe maana nimeona inanishawishi nimtafute mtu nisiyemtaka.
Huyu jamaa akiamua kuimba anaimba sana.